Upandaji
Eka1 inahitaji mbegu kg 2 =na sh 60-70gharama ya mbegu.
Shina ad shina cm 30,mstar had mstari cm 60.
Mavuno
1eka =Gunia 13-17
Gunia 1=debe saba
Gunia 1linatoa mafuta lita34-37
Zaid soma hiyo attachment.
Asanbten sana
steveachi, Asante sana nashukuru ndugu ila naomba tena kujua baadhi ya vitu,
1. Umemaanisha gunia la debe ngapi?
2. Mafuta yake yana utofauti wowote na mafuta ya aina nyingine za alizeti? Naona bei kubwa sana.
Asante.
Du pole ningepata huu uz mapema. Wake doxcol kwa doz ya kijiko cha chakula kwa maji Lita 10. Pamoja na multivitamin kama farmvita. Yalikua mafua makali eidha yaliambatana na Kuku kuvimba macho, kukoroma n.k ko ilibid ubadili dawa.
Nipo Njombe vijijini (Kata ya Ikondo) ambako mazao yanakubali bila aina yoyote ya mbolea. Ipi mbegu bora ya alizeti yenye mavuno mengi, na makadrio ya gharama ya uendeshaji (running cost) up to revenue and profit kwa ekari 1.
Natanguliza shukrani za dhati wana JF.
Botswana ni nch ya kwanza inayotegemea uchumi wake mifugo hasa ng'ombe. VP unaonaje huko hat project mbalimbali maana wengine tuna procession hizo tunasota tu Tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.