JamiiForums inachukua email tu wakati wakujisajili kwa mwanachama. Email ya mwanachama tunakuwa nayo ili kureset password inapohitajika na sio kwa matumizi mengine. Tafadhali soma zaidi kuhusu sera yetu ya faragha Privacy policy
JamiiForums inatumiwa na watu wa Afrika Mashariki na wengine ni waungumzaji wa kiswahili waliokuwa nje ya Afrika. Kuandika mada kama kila mmoja ni mkazi wa Mwenge inaleta ukakasi kidogo.
Tafadhali andika kwa namna ambayo kama mtu sio mkazi wa maeneo husika anaweza kuelewa kinachozungumzwa. Hata...
Mkuu Analyse ,
Sina uwezo wa kuingia PM yako, na hakuna mtu yeyote mwenye uwezo wa kuingilia PM yako. Kwenye uwanja wa PM kuna sehemu ya Participants ambapo inakuruhusu kuangalia watu mliokwenye maongezi. Hizo tuhuma unazoleta hazina ukweli wowote.
Hakuna mwenye uwezo wa kuingilia PM ya mtu yeyote. Unapokuwa PM angalia idadi ya watu waliopo (kwa kubonyeza nukta tatu upande wa kulia, chaguo la kwanza lilioandikwa "Participants") na kama mtu sio sehemu ya mjadala bofya Kick-out kumtoa.
Makosa yako sehemu nyingi sana Mkuu, mfano Maxence Melo, ni Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums wao wameandika JamiiForum, haina 'S', hili ni kosa ambalo hata baadhi ya wanachama wanalifanya
Waungwana naomba nifafanue kitu. JamiiForums sio chombo cha habari (media). JamiiForums ni asasi ya kiraia iliyosajiliwa kufanya uchechemuzi na uragabishi kwenye masuala matano ikiwemo Haki za kiraia, Haki za Kidigitali, Uwajibikaji, Utawala bora na demokrasia.
Akhsanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.