Recent content by yevgeny prizogny

  1. yevgeny prizogny

    Matukio ya Ushoga duniani

    Kuna kitu kinawafanya waislamu mnakuwa na akili ya mbuni. Na sio kingine ni CHUKI mlio nayo dhidi ya wayahudi..Hii imewafanya wengi wenu mmekita vichwa vyenu chini ya mchanga na hamfikirii tena...Ushoga upo kila nchi mpaka Saudi Arabia.Na miaka michache imepita mwana mfalme mmoja alipatikana na...
  2. yevgeny prizogny

    Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

    Wewe hunywi pombe{ukidai ni haramu} halafu unahoji kwamba mtu akinywa pombe mboo yake inasimama?? Majibu ya maswali mengine uwe unagoogle au ujaribu kula chakula kizuri ushushie na pombe ili uhakikishie mwenyewe.Kama kichwa chako ni cha kuku usiende kunywa pombe bar usije ukalewa watu...
  3. yevgeny prizogny

    Connection hii ya Nyoka, Hawa, Kaini.. Je ndio ufunuo ulioleta kizazi cha nyoka?

    Huku kwetu Njia ya Masasi Bullshit ni mavi ya Ng'ombe.Na yanatumika kama mbolea ya mazao mengi tu.Naamini hata kijijini kwenu kama ulishawahi kufika bullshit inatumika kama mbolea pia.Ya vitunguu,,nyanya hata mahindi pia. Labda nikuulize; Huo ushirikina ulio nao ulirithishwa au uliununua...
  4. yevgeny prizogny

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Dada yangu liva,, Topic ilio mezani inasema >>>Dini ni kwa ajili ya ""low minded people""Genius can't be trapped>>>> Mbona hujikiti kwenye mada unaandika vitu visivyokuhusu na usivyovijua?? Mbona nikitizama majibu yako yote hayajibu maada ilio jukwaani,,wewe ni Muislam fundisha watu uislam...
  5. yevgeny prizogny

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Maana yangu ni hii Suala la kumjadili MUNGU kwa sababu ya Vita,,umaskini na chuki ni wasting of time..toeni solution ya hayo matatizo na sio kujaribu kutupa sisi elimu ya kipumbaf kabisa kwamba MUNGU hayupo.Mimi binafsi sipendi watu wauwane waharibiane na wachukiane lakini nyie Atheist mnaojiona...
  6. yevgeny prizogny

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Pia kuleta maada ya kumjadili MUNGU usiemuona usiemjua na mwisho ukasema hayupo ni akili duni,,kupoteza mda na kuonyesha huyo mwenye kuleta maada ya kumjadili MUNGU asiemtaka namna alivyo debe tupu[Empty barrell]
  7. yevgeny prizogny

    Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

    Msiomwamini MUNGU tuonyesheni solution na sio mnakuwa na maneno MENGI.Kwamba marekani hawana dini na Israel hawana dini ila vita inayoendelea pale ni ya maslahi [Nonsense} Kwa wapalestina kuna maslahi gani? Gaza kuna nini zaidi ya boti za uvuvi....Badala ya kupiga kelele hapa kwamba MUNGU hayupo...
  8. yevgeny prizogny

    Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

    Chanzo cha haya maelezo yako hafifu na dhaifu ni kipi? labda nikusaidie soma vizuri historia ya kanisa,,pitia mitume 12 uwasome vizuri na pia tafuta kujua biblia zilizokuwepo kabla ya mwaka 1600,,,ndio uje usome historia ya WILLIAM TYNDALE na scholars walioandika biblia ya toleo la KING JAMES..
  9. yevgeny prizogny

    A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

    Science ni nzuri na mafundi walio wengi watapenda kuinstall na ku run system zilizo incoporated na AI maana zinaweza kuwa na accuracy inayokaribia 100% labda ukakuta degree of error ikawa +/- 0.0001..Lakini habari ya kui incorporate kwenye mwili wangu hio haipo hata kidogo na sitakubali..Na kama...
  10. yevgeny prizogny

    Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

    Nimeweka ukristo kwa sababu watu wanamuongelea Ghadafi kwa taswira ya udini kwa kuwa alikuwa Muislam nikataka kuonyesha alikuwa anakubaliwa na wakristo pia kwa sababu ya uzalendo wake na mapenzi yake ya kujitegemea na kulipenda bara la afrika lenye shida ya umaskini wa kujitakia..Zaidi sana hata...
  11. yevgeny prizogny

    Hotuba ya mwisho ya Muamar Gaddafi-aliyosema yametokea!

    Mimi ni mkristo kweli kweli lakini linapokuja swala la Ghadafi huwa simhukumu kutokana na dini yake lakini namuona kama mtu ambae alikuwa na akili,,,nahisi ni mtu wa kuigwa..Kama ukitaja tatu bora ya viongozi wenye akili wenye kujali wananchi wake na pia akitaka kuishi kwa uhuru ujamaa na...
  12. yevgeny prizogny

    Yakitokea mashindano kati ya wachawi konki na walokole konki, ni wepi watashinda?

    Kwenye biblia hilo shindano lilishafanyika wakati wa Nabii Elisha,,na kilichotokea kilikuwa wazi na kinajulikana...rejea kitabu cha mambo ya Nyakati.....Kwa hapa Dar es Salaam hawa nitakaowataja ni washirikina::-Mwamposa,,,Suguye,,,mwingira,,kakobe,,,kuhani musa..nje ya dar kuna geo davi,,,yule...
  13. yevgeny prizogny

    Mbingu haipo, watu husema mbinguni kuna maisha mazuri lakini huomba waishi maisha marefu duniani

    Nelson Mandela alisema "" ukiongea na mtu kwa lugha ya kigeni unaongea na kichwa chake,,lakini ukiongea na mtu kwa lugha yake unaongea na moyo wake"" maana yangu ni hii biblia imeandikwa kwa lugha ya kiswahili kwa hio mimi niliekwisha isoma vitabu vyote ninaielewa na hakuna alienikaririsha...
Back
Top Bottom