Recent content by Yeboyebo Std

  1. Y

    Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    Tunataka Tanganyika yetu irudi. kama ccm ina maslahi mapana na muungano huu, haya ni maslahi ya chama sio nchi (nukuu ya nape)
  2. Y

    Msaada jamani ninapiga bao 3 kila siku labda itokee nimesafiri tu.

    hivi kweli wewe ni baba wa watoto 3? mbona unapost pumba? unataka tukushauri nini? kwa ufupi hueleweki.
  3. Y

    Help: I cant wash his underwear

    kwenye issue ya mshahara wa mke kuchangia budget ya ndani kuna ugumu
  4. Y

    Help: I cant wash his underwear

    ndoa sio kulala kitandani tu bali ni pamoja na kumsaidia mumeo kumfanya aonekane smart
  5. Y

    men men men

    nimeipenda hiyo
  6. Y

    men men men

    hata mwanamke sio nduguyo
  7. Y

    Maajabu ya Supu Ya Pweza

    sijawahi kutumia,naombeni ushauri nitumie?
  8. Y

    Mashtaka ya ugaidi Tabora yafutiliwa mbali, Henry Kilewo na wenzake 4 huru kwa tuhuma hizo

    Haki siku zote haipotei bali inafunikwa tu na wale wenye kudhulumu na baadae huwa inaangaza
  9. Y

    Dr. Slaa amkosoa Rais Kikwete kuhusu Rwanda

    Nimeipenda hiyo mkuu
  10. Y

    Jaji Mutungi ateuliwa kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, achukua nafasi ya John Tendwa

    Kusema kweli kwa hali ya kisiasa ya nchi ilivyo kwa sasa,ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini inahitaji kuwa na mabadiliko muhimu ili kutengeneza kuaminiana miongoni mwa vyama vya siasa nchini.Katiba mpya itengeneze tume maalum ya kumteua msajili na kuipeleka kwa rais.
  11. Y

    Jeshi la Polisi lamkamata Muhusika wa Usambazaji wa SMS Chochezi

    heko jeshi la polisi kwa kazi nzuri ya kupambana na wahuni wachache wanaotafuta kugawa nchi kwa maslahi yao.nakubaliana na Rais kikwete kuhusu rasilimali za nchi,tukiruhusu madai haya ya wanamtwara yapite kama yalivyo,hakuta kuwa na nchi maana hata watu wa mbeya wanaweza kuzuia magunia ya viazi...
  12. Y

    RC Mtwara: Hali ya Mtwara ni shwari kabisa!

    mkuu wa mkoa anajua anachokizungumza kwa nafasi yake kama mkuu wa mkoa
Back
Top Bottom