men men men

men men men

Am so sorry! but men aren't like that,u seem to make bad moves! listen; GO FOR THE ONE (MEN) WHO TRULY LOVES YOU....only then utajua how sweet men are! Love rules..u don't need to get confused my lady. au hujui jinsi ya kumtambua a men anae kupenda kwa dhati?? labda ndo tatizo lako.

aaaa kwan kuna wanaopenda kwa dhati siku hizi??? wte ni chapa ilale tuu.....unless u prov me otherwise
 
mxiiiiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu (pandisha macho na kushusha chini
mxiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiu okra we (na mate natema....)

dum.b n broke ignoramu.s pervet kwendraaaaaaaaaaaaaa
Wewe!!!, mbona hivo??
 
utamwitaje mwenzio nyambafu na humjui?how does it feel
I didnt call you, I called yo coment.
"aftaroo" I was a lilttle bit emotional, Lakini!!!, kwa nini wewe utake kumuonyeshea dharau mwanaume, umesahau kuwa umetoka ubavuni kwake!?
 
hapana chezea men's ego hahahaaaaaaa. mi nna kimeo changu hicho full drama daily mara oohh im not sure abt us...give me a break...blah blah.. ukimchunia after two days anaanza kulialia. alivyohajielewi sasa ukimwonesha mapenzi anadhani labda u r after smthng (ndoa labda)...mwenyewe mejizoelea kumwita bwana angu swtnamez kwa sana basi ye anadhani labda nipo desperate kumbe mwenzie maigizo tu as keshanichosha teh teh teh... huyo wako bibie akikuletea pozi mchapishe lapa/usimfatefate...nawe weka pozi kwa sana tu (nilimpigishaga mtu kwata mwaka mzima ananbembeleza tuuuu hahahaaaaaa) ananiheshimujeee sasa now 🙂 🙂
 
hapana chezea men's ego hahahaaaaaaa. mi nna kimeo changu hicho full drama daily mara oohh im not sure abt us...give me a break...blah blah.. ukimchunia after two days anaanza kulialia. alivyohajielewi sasa ukimwonesha mapenzi anadhani labda u r after smthng (ndoa labda)...mwenyewe mejizoelea kumwita bwana angu swtnamez kwa sana basi ye anadhani labda nipo desperate kumbe mwenzie maigizo tu as keshanichosha teh teh teh... huyo wako bibie akikuletea pozi mchapishe lapa/usimfatefate...nawe weka pozi kwa sana tu (nilimpigishaga mtu kwata mwaka mzima ananbembeleza tuuuu hahahaaaaaa) ananiheshimujeee sasa now 🙂 🙂

nimeipenda hii lol
 
I didnt call you, I called yo coment.
"aftaroo" I was a lilttle bit emotional, Lakini!!!, kwa nini wewe utake kumuonyeshea dharau mwanaume, umesahau kuwa umetoka ubavuni kwake!?

hayo mambo ya kutoka ubavuni mwake ndo yanawapa kiburi!
Yes according to the bible u shud treat me how u wanna be treated as am a party of ur flesh!!if u know what i mean eh.
Mwanaume mjingamjinga akileta za kuleta unampa za uso!!
Mheshimu anayekuheshimu!
 
Dawa yao ni kuyaacha kama yalivyo jaman!.hayaelewek kwakwel
 
hapana chezea men's ego hahahaaaaaaa. mi nna kimeo changu hicho full drama daily mara oohh im not sure abt us...give me a break...blah blah.. ukimchunia after two days anaanza kulialia. alivyohajielewi sasa ukimwonesha mapenzi anadhani labda u r after smthng (ndoa labda)...mwenyewe mejizoelea kumwita bwana angu swtnamez kwa sana basi ye anadhani labda nipo desperate kumbe mwenzie maigizo tu as keshanichosha teh teh teh... huyo wako bibie akikuletea pozi mchapishe lapa/usimfatefate...nawe weka pozi kwa sana tu (nilimpigishaga mtu kwata mwaka mzima ananbembeleza tuuuu hahahaaaaaa) ananiheshimujeee sasa now 🙂 🙂

If you want a woman to tell you the truth.. give her a mask..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom