Salam kwenu wakuu.
Mimi ni mfugaji/mkulima ambaye nimepitia changamoto nikakwama kimtaji. Naomba kama kuna mdau humu ambae anaweza kunisaidia jinsi ya kupata mkopo au udhamini ili nibust ufugaji wangu na kilimo pia. Nina heka 50 za shamba ambalo nahitaji kupanda maharage msimu ujao na kuku...
Umeongea jambo usilo lijua tena ni wazuri sana huwezi amini sometime kuliko hata hao MD maana wao wako huku ground they meet many and consult many. Sijui nikwambie kwa mfano upi unielewe.
Mkuu wagonjwa wapo tu hata wasipo kuja hospitalini kwangu. Na nia ya vituo vya afya ni japo tunaugua tukienda kutibiwa tupone.
Pole sana naona umenielewa tofauti.
Wana jamvi wenzangu mimi ni muajiriwa ktk clinic fulani kama meneja fedha wa kituo.
Ninaomba mawazo yenu wakuu kwamba ni njia gani naweza kuitumia kuvuta wateja waje kuhitaji huduma ktk kituo chetu? Je wagonjwa ambao ni wateja wanapendelea kuhudumiwa vipi? Mawazo yenu yatanisaidia kuboresha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.