Recent content by ycam

  1. Y

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu ninayesumbuliwa na baadhi ya ex's wangu?

    Una ma ex wangapi mwenzetu?
  2. Y

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole unapomshauri Samia aseme nini kwenye kampeni, unatuona sisi Watanzania ni mazuzu?

    Sijawahi amini kwamba Polepole anaweza angusha ngome ya CCM. Sisemi hawezi ila nione kwanza impact yake ndo nitaamini. Until then I remain undecided about the impact of his movement against the so called wanamtandao & mafisadi.
  3. Y

    JamiiForums Tanzania In JF, what is your red flag?: Red flag gani ambayo ukiiona kwa mwanachama wa humu hautajibu hata PM yake?

    You are a "small minded person". Hivyo vipengele vyote ulivyo orodhesha (maybe except no. 3 - matusi) anajali mtu ambaye siyo mkomavu kiakili.
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Dkt. Aaron Mujajati: Ni ngumu kwa mwanamke kupata watoto baada ya miaka 35

    Be gracious. Huenda amegundua alikosea. Forgive him, talk to him, and be that shining light to him as he approaches the end of his life. Utabarikiwa. No human is perfect. We are all always a work in progress.
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kuishi na mwanamke asiye na utii

    Unachanganya maturity na theory. Kuna comment kaulizwa kama ameoa kagoma kujibu. Kuna uwezekano maoni yake ni mostly nadharia. Haya mambo yanategemea na uwepo wa mtazamo chanya kutoka pande zote mbili.
  6. Y

    JamiiForums Tanzania Kama Ngosha angekuwepo, yule jamaa bonge Mzimbabwe angetia mguu wake kweli hapo Ikulu?

    A fair and balanced comment. Ila mtoa mada pia amekiri kuwa JPM alikua na yake mengi "meusi".
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Ninaishi na maumivu

    Dah pole sana Mkuu.
  8. Y

    JamiiForums Tanzania Kwanini mwanamke amekubali kuolewa halafu hataki kuzaa

    I have to say, judging by your responses to the comments (some of which are stupid), you have a great attitude. Kuhusu Uncle wako, mshauri kama anataka watoto na mkewe hataki basi aachane naye atafute mke mwingine.
  9. Y

    JamiiForums Tanzania Dr Kigwangala aanza kusaka ajira mbadala ya Ubunge

    Mkuu unajua tabia ya pesa lakini? Kadiri unavyoipata ndivyo unavyoizoea na kuongeza matumizi. Mwisho wa siku usipokua makini unajikuta upo palepale.
  10. Y

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    Hizo ndo sababu wamenyimwa visa? Unajua maana ya visa? Be serious Mkuu. The questions you are posing are irrelevant. Hakuna sheria yeyote au mkataba wowote wa kimataifa unao dictate nchi yeyote kulazimika kukupa kibali cha kuingia kwenye nchi husika bila ridhaa na utashi wa nchi husika. Iran is...
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    You are misinformed Mkuu. Unajua lakini kwamba rais wa Palestina na wana diplomasia wake wametangazwa kunyimwa visa ya kuingia US kuhudhuria mkutano wa UN siku chache zilizopita tu? Pitia hii...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    Not true. Visa yeyote ile inatolewa kwa utashi wa mamlaka ya nchi husika. Wanaweza kukunyima kabisaa mazima bila hata ya kukupa sababu. Pia wanaweza kukunyima leo lakini kesho wakakupa. Na wanaweza wakakupa lakini ukiingia tu ndani ya nchi yao bado wakakukataa na kukurudisha ukiwa hapohapo...
  13. Y

    JamiiForums Tanzania Marufuku ya Makonda kwenda US, UK, Australia & Canada

    Siyo kweli hata kidogo. Kwa nchi yeyote ile a visa is not a right; it's a privilege. Hata Mahmoud Abbas, Rais wa Palestine, kanyimwa kuingia US juzi tu bila sababu za wazi. Sembuse waziri wa Tz? Pitia hii...
  14. Y

    JamiiForums Tanzania Don't be a simp

    Upon sahihi mkuu. Binafsi huwa nasema all I want is fairness. Nikijitoa kwako na wewe jitoe kwangu. Vinginevyo na mimi naacha.
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Don't be a simp

    Sasa si ndo maana tunaambiwa tuchukue tahadhari.
Back
Top Bottom