Don't be a simp

Don't be a simp

Nmeangalia ma binti wa kizungu kupitia TV series mbalimbali nmegundua kuna kitu wanaongeza kwa mwanaume ( value)
Sasa hawa wa kwetu mbn akinipangia ratba za mbunye kutonipa mpk mwezi fulani naanza kuwaza kumuacha tu.

Yani no mbunye no kujuana.

Au tupo nao kw ajili ya kufuliwa n kupikiwa tu?
 
Je kama umezaa nae tayari na hajioni ukiwa tayari kwa ajili ya ndoa, hapo tunafanyaje mwenyekiti?
 
Je kama umezaa nae tayari na hajioni ukiwa tayari kwa ajili ya ndoa, hapo tunafanyaje mwenyekiti?
Kama mpo pamoja tulia nae mlee mtoto wenu. Mtoto ana haki ya kupata malezi ya wazazi wake wote wawili kwa pamoja. Kama mama mtoto hana changamoto zisizovumilika mfano jeuri, gold digger, kuchiti n.k basi tulia nae tu. Kwenye dating pool wamejaa damaged women tu. Utaluka majivu utakanyaga moto

Kama tayari mshaachana hapo kubali ulifanya kosa kumzalisha mwanamke ambae hauna malengo nae. Kuleta kiumbe kipya duniani ni suala ambalo linahitaji maandalizi ya kipato, saikolojia na dhamira ya dhati kujenga familia. Usifanye kosa kubwa zaidi la kumtekeleza mtoto wako. Toa gharama stahiki za malezi
 
Kama mpo pamoja tulia nae mlee mtoto wenu. Mtoto ana haki ya kupata malezi ya wazazi wake wote wawili kwa pamoja. Kama mama mtoto hana changamoto zisizovumilika mfano jeuri, gold digger, kuchiti n.k basi tulia nae tu. Kwenye dating pool wamejaa damaged women tu. Utaluka majivu utakanyaga moto

Kama tayari mshaachana hapo kubali ulifanya kosa kumzalisha mwanamke ambae hauna malengo nae. Kuleta kiumbe kipya duniani ni suala ambalo linahitaji maandalizi ya kipato, saikolojia na dhamira ya dhati kujenga familia. Usifanye kosa kubwa zaidi la kumtekeleza mtoto wako. Toa gharama stahiki za malezi
Shukran mkuu, ila hii issue inanitafuna sana.
 
Mnahangaika na ishu zisizokua na ishu hata, kumma haijaanza kuwa na nguvu leo....aliangushwa Adam, akaangushwa mnadhiri wa Mungu Samson na wengineo weeeengi itakua nyie kina mwakipesile..... Hebu hukooooo
Hawakupata haya madarasa brother 🤣
 
Upon sahihi mkuu. Binafsi huwa nasema all I want is fairness. Nikijitoa kwako na wewe jitoe kwangu. Vinginevyo na mimi naacha.
 
Hili ni jiwe kwa mademu wanok nok, demu umetongoza wiki iliyopta anakubebesha jukumu la kupata smartphone mpya wkt we tu bado unatumia infinix smart 2, jukumu la kodi ya nyumba anapoish kodi yake ya mwez we unalipa miez 3 shaaabashiiii..
 
Back
Top Bottom