Recent content by YAYEDACHINI

  1. Y

    Haya mazoezi ya ndege za Kijeshi mjini (Dar) yanatia shaka kipindi hiki!

    haya ni mazoezi kwa ajili ya kumuaga amiri jeshi mkuu rais wa jamhuri ya mungano wa tanzania...ataagwa rasmi kijeshi cku ya 9 sept 2015. Toa shaka
  2. Y

    Upi hasa ufisadi wa Lowassa?

    Siasa ni game inayohitaji akili, ccm km mazuzu wamebadilishana dhahabu na vipande vya chupa...
  3. Y

    Tofauti kati ya Mrema na Lowassa kwenye ugombea urais

    wangapi waliosoma hawana ajira? Kwenye taasisi za umma mmejaza watoto wenu kila kukicha kugawa mikoa na wilaya kutengeneza ajira, mmeshindwa kusimamia kilimo na processing industries kuongeza ajira! Mwaka huu hatuna suluhu na ccm
  4. Y

    Sasa ni dhahiri, Rais hatatoka ndani ya CCM

    unavyosema sasa ni dhahiri rais atatoka ccm kwani lini alitokea nje ccm? sasa tunataka atoke nje na ccm
  5. Y

    Mama na mwanae

    hahahahaaa...
  6. Y

    Mkutano wa Baraza Kuu CHADEMA - Agosti 03, 2015

    attitude ya dr. kwa mafisadi na ufisadi ni jambo analoishi nalo hakujenga kwa siku mmoja...japo hakuna kurudi nyuma, pia hatupaswi kudharau nakusahau jitihada na mchango wake ktk ujenzi wa chama, kikubwa nikumwombea ili Mungu amwonyeshe njia, ili atutie nguvu...
  7. Y

    Najiandaa kumpokea Balali

    Kikubwa ni kuitoa ccm madarakani ili kuzuia kuzaliwa mabalali na liyumba wengine pale Bot,
Back
Top Bottom