wangapi waliosoma hawana ajira? Kwenye taasisi za umma mmejaza watoto wenu kila kukicha kugawa mikoa na wilaya kutengeneza ajira, mmeshindwa kusimamia kilimo na processing industries kuongeza ajira! Mwaka huu hatuna suluhu na ccm
attitude ya dr. kwa mafisadi na ufisadi ni jambo analoishi nalo hakujenga kwa siku mmoja...japo hakuna kurudi nyuma, pia hatupaswi kudharau nakusahau jitihada na mchango wake ktk ujenzi wa chama, kikubwa nikumwombea ili Mungu amwonyeshe njia, ili atutie nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.