Data za barabara ambazo zimetolewa kwa Tanzania ni data za TANROAD tu, TARURA Network yote haipo kwenye hizo data, kwa ujumla Tanzania tuna Network kubwa ya Lami kuliko nchi zote hizo zilizotajwa. Kwa hiyo barabara zote za mjini hazijaorodheshwa, wakati nchi nyingine wameorodhesha za mjini pia.
Ni kwamba rocket hiyo ilikamilisha mission yake yakupereka Satellite huko angani,na satellite hiyo inafanya kazi kama kawaida,
kilichotokea ni yale mabaki ya rocket hutakiwa kurudi duniani kwa kuongozwa na Control system ya ardhini .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.