Habari wadau,Leo tukutane wale wote ambao tulishakutwa na matukio ya kuibiwa kwa njia yoyote Kama kuporwa,kuvunjiwa ama Yale ya ujambazi,kusema kweli wanaturudisha nyuma ,Mtu unahangaika unatafuta yeye anakuja kubeba kirahisi Tu Kama chake vile,nalilia flat screen yangu 50 inch wameibeba Kama...
Habari wadau,
Leo nataka tuambiane kila ambae alishawahi kuibiwa either na kibaka njiani ama kuvunjiwa nyumba na wezi ama wale wanaoitwa majambazi kusema kweli wanaturudisha nyuma, mtu uko buzz kutafuta yeye anakuja kuchukua kiulaini kama chake, inasikitisha kusema kweli.
Hapa naugulia maumivu...
Mkuu me niko nje ya mada kidg nlikua naomba ushauri khs shamba uko mkuranga sehemu inaitwa msorwa mbele kidg kuna kiwanda cha chumvi,Mwenzangu alinunua kama miezi minne imepita,mimi sijafika lkn alimpeleka mamaake baada ya kurudi tu akaniambia mmepoteza pesa sehemu ni ya maji na mchanga hapaoti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.