Recent content by YASIYOSEMWA

  1. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Kwenye umeme na mafuta....

    Tutafute vyanzo vingine vya mapato Umeme ushuke kidogo bei
  2. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Kwenye umeme na mafuta....

    Tuambizeni ukweli hizo tozo na Makato hasa kwenye umeme yamezidi... Unanua umeme wa 5000/= Unapata unit za 3800/= Kuna Makato kibao rea,Vat,ewura Kwa sitaili hii kujiajiri Ni ndoto TUWENI TU MAWINGA.... UMEME WA BWAWA LA NYERERE Ulisafirishwa kwenda wapi mbona Bei YA umeme haishuki kama supply...
  3. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Nini kipimo cha Akili?

    Kipimo cha Akili hupimwa na namna Mtu anavoweza tatua changamoto Kwa usahihi na uharaka Bila kuleta athari Hasi Kwa mazingira yake yanayomzunguka... KADIRI UNAVYOWEZA KUTAWALA MAZINGIRA YAKO NDO KIPIMO CHA AKILI Z
  4. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Good News!. Yule Shujaa Mwanamke wa Shoka, Shupavu, Chuma na Shujaa wa Chadema, Kamanda Halima Mdee, is Back Ndani ya Nyumba!.

    Halima. Kinachompa credit na kuoneka amekomaa kiitikadi,Ni kutokwenda chama kingine cha Siasa hii inaonyesha anaamini katika falisafa na itikadi YA chadema imemtofautisha Sana na wanasiasa kama zitto Kabwe aliyeenda kuanziasha chama kingine Chenye falisafa na itikadi tofauti na chadema iliyomlea...
  5. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: Nilishataka kila mmoja ajaze fomu kitu alichonacho, nikaambiwa nitaleta taharuki kwanza hiyo niachane nayo

    Mpaka ukaacha Inamaanisha aliyekwambia Alikupa maagizo... Ni anayeweza kukupa maagizo ni nani?
  6. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    Punguza hasira kijana
  7. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    Punguza hasira kijana Au mikeka imechanika
  8. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    Hahaha Sawa mkuu..!
  9. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    Wachunguze vizuri wachuuzi Huenda wapo kwenye meza na vikao vya maamuzi....
  10. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    Kaka Shida Ni Sera Kuanziasha kiwanda Kuna urasimu na mitozo kibao,wangeanza kuondoa hiyo mitozo na urasimu Kwa wazawa na kuwahakikishia SOKO mbona watu wangejenga
  11. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    Sio kufight nao Ni kuwa tu na uzalendo,kuacha kuingia mikataba YA kurusu TAIFA kuwa SOKO la kila bidhaa..zingine tuuziane sisi Kwa kuuziana wenyewe na kuwezeshwa kuanziasha viwanda vidogodogo hauhitaji Sabuni toka China au nguo toka uturuki...Mzee Kuna jinzi zinatengenezwa hapa zinauzwa USA...
  12. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    "Tatizo la Afrika wenye Mamlaka hawana idea,na wenye idea hawana Mamlaka" "Ni maneno ya PLO LUMUMBA" NB:sina wakili
  13. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa la Madalali na Wachuuzi

    Kuna Muda unaweza kujilaumu Sana Kwa Nini?umepoteza Muda mwingi kusoma hii elimu tuliyoachiwa na mkoloni... Kama MTU ana master's degree na Ni winga kariakooo Au afisa ubashiri Yani mkamalia,au Ni mwanamtandao I mean Content creator elimu Kuna Shida Mahali Vijana ndo nguvu kazi YA TAIFA lakini...
  14. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Nje ya muungano....!

    Mtanganyika hamiliki ardhi zanzibar
  15. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Nje ya muungano....!

    Umeme wa visiwani Kwa kiasi kikubwa unatoka Bara...
Back
Top Bottom