Tuambizeni ukweli hizo tozo na Makato hasa kwenye umeme yamezidi...
Unanua umeme wa 5000/=
Unapata unit za 3800/=
Kuna Makato kibao rea,Vat,ewura Kwa sitaili hii kujiajiri Ni ndoto TUWENI TU MAWINGA....
UMEME WA BWAWA LA NYERERE
Ulisafirishwa kwenda wapi mbona Bei YA umeme haishuki kama supply...
Kipimo cha Akili hupimwa na namna
Mtu anavoweza tatua changamoto Kwa usahihi na uharaka
Bila kuleta athari Hasi Kwa mazingira yake yanayomzunguka...
KADIRI UNAVYOWEZA KUTAWALA MAZINGIRA YAKO NDO KIPIMO CHA AKILI Z
Halima. Kinachompa credit na kuoneka amekomaa kiitikadi,Ni kutokwenda chama kingine cha Siasa hii inaonyesha anaamini katika falisafa na itikadi YA chadema imemtofautisha Sana na wanasiasa kama zitto Kabwe aliyeenda kuanziasha chama kingine Chenye falisafa na itikadi tofauti na chadema iliyomlea...
Kaka Shida Ni Sera
Kuanziasha kiwanda Kuna urasimu na mitozo kibao,wangeanza kuondoa hiyo mitozo na urasimu Kwa wazawa na kuwahakikishia SOKO mbona watu wangejenga
Sio kufight nao Ni kuwa tu na uzalendo,kuacha kuingia mikataba YA kurusu TAIFA kuwa SOKO la kila bidhaa..zingine tuuziane sisi Kwa kuuziana wenyewe na kuwezeshwa kuanziasha viwanda vidogodogo hauhitaji Sabuni toka China au nguo toka uturuki...Mzee Kuna jinzi zinatengenezwa hapa zinauzwa USA...
Kuna Muda unaweza kujilaumu Sana Kwa Nini?umepoteza Muda mwingi kusoma hii elimu tuliyoachiwa na mkoloni...
Kama MTU ana master's degree na Ni winga kariakooo Au afisa ubashiri Yani mkamalia,au Ni mwanamtandao I mean Content creator elimu Kuna Shida Mahali
Vijana ndo nguvu kazi YA TAIFA lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.