Recent content by YASIYOSEMWA

  1. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Waislamu wanajuaje majina ya Kaini, Habili na Hawa wakati hayapo kwenye Quran?

    Hahahahaha zote biblia,Qur'an Na Talmud Ni hadithi ZA wajukuu wa Ibrahim waarabu,waelamu na wayahudi SISI WAMATUMBI HAYATUHUSU
  2. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Israel wanazidi kutuchanganya, sasa wanajipanga kujiimarisha kwa Mashambulizi ya anga za juu

    We Ni Mpumbavu tu wewe,Mimi sina Imani ZA mashariki YA Kati huko,Mimi Ni muafrika namuabudu Mungu Waafrika...wewe endelea kuamini uteule wa Israel
  3. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Israel wanazidi kutuchanganya, sasa wanajipanga kujiimarisha kwa Mashambulizi ya anga za juu

    Hivi Kwa Nini?wamatumbi wa matombo hapa Malawi munafikiri hii Ni Vita YA KIDINI. Hao wazayuni hawaangalii Uwe muislamu,mkiristo,mmbudha hata myahudi mwenzao ukijichanganya Na itikadi Yao YA uzayuni wanakuhasi usipojizatiti....MIPANGO wao wa greater Israel Ni Zaidi YA mashariki YA Kati Sema...
  4. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Ni lafudhi gani unaipenda katika makabila ya Tanzania?

    Kichina
  5. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa Israel PEKEE ndilo Kwa miaka maelfu lilimuabudu Mungu wa kweli Africa wazungu ni miungu yao kabla ya kumuamini Mungu Ibrahimu Isaka na Yakobo

    Unaambiwa usiibe halafu watu wanakwapua Mali ZA Umma,unaambiwa usiue wakati wao ukiwakisoa unaisoma.. MUNGU WA AFRIKA NDO ATAWAOKOA WAAFRIKA SIKU TUKIANZA KUMTAFUTA NA KUMUOMBA,hiyo Miungu mingine haitoboi kwenye ardhi ya afrika
  6. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa Israel PEKEE ndilo Kwa miaka maelfu lilimuabudu Mungu wa kweli Africa wazungu ni miungu yao kabla ya kumuamini Mungu Ibrahimu Isaka na Yakobo

    Unajua Waafrika hawajitambui Hizo Ni hadithi ZA kale ambazo HATA ZA Kiafrika pia zipo. Watu wameaminishwa mbingu...Na Hao wayahudi na wazungu Na waarabu wanauana kujenga hapa duniani
  7. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Taifa Israel PEKEE ndilo Kwa miaka maelfu lilimuabudu Mungu wa kweli Africa wazungu ni miungu yao kabla ya kumuamini Mungu Ibrahimu Isaka na Yakobo

    Hawa ndo vijana wapumbavu wa Kiafrika... Mungu wa Israel haabudiwi nje ya ardhi ya Israel,ndo maana Hao jamaa wanang'ang'ana kupata ardhi ya Israel ambavyo kimsingi hawajawahi kuipata Toka walivotoka utumwani Misri...kimsingi walitapeliwa Na Musa ili mradi awatoe Misri akaanzishe utawala wake...
  8. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer ajiuzulu

    Sasa hapa unachobisha Nini?
  9. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Ya Iran na Marekani ijue historia"Iran(persia)ndo guardian angel wa mashariki ya kati

    Kuna watu hawawaelewi vizuri waajemi...Hao Ni ancient civilization Na wanajua Hilo,kimsingi ndo maana ulaya hawakutaka kabisa kuingia kwenye Huu mzozo,kumbuka west Europe ndo Roman empire... JAMAA WANATUMIA AKILI SANA Ni asymmetrical war fare Na diplomasia zidi YA Maguvu bila strategy
  10. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Je, Waziri Kijana anayemiliki LC 300 TATU, Range Rover na Flat Apartments, ni Nani?

    Assad si Ni yule Rais wa ashuru aliyetimukia urushiiii
  11. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Ya Iran na Marekani ijue historia"Iran(persia)ndo guardian angel wa mashariki ya kati

    Netapaka Ni muuaji tu...haijalishi uko na Imani gani hupaswi kuua ni amri ya Mungu muumbaji Yani mlungu
  12. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer ajiuzulu

    Unajua kuwa uingereza iliitishia Israel isipositisha Vita Gaza italitambua TAIFA la Palestine kama nchi zingine ZA ulaya...unajua issue kuu inayowaondoa labour Na conservative ni islamization of UK. Unajua kinachoendelea Ireland.
  13. YASIYOSEMWA

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer ajiuzulu

    Israel haipo ulaya geographically tu.. Lakini tamaduni zao kisiasa,kijamii Na kiuchumi Hao Ni watu wa ulaya kabisaaaaaa. Kumbuka sijasema trump,nimesema people with power beyond politicians
Back
Top Bottom