Haikuwa holela Ila familia ndio zlikuwa zinataka ivyo unakuta wanataka kumuozesha binti yao ivyo wanaamua kumleta Hosp kwa ajl ya vpmo ila ukikaa na wahusika ukiwauliza wengi wao wanakuwa tyr washashriki tendo ivyo inakuwa haina umuhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ndio mtaji unapangisha then unabakia na chumba kimoja unakaa na pesa ya kodi unaanza biashara ambayo inaona inafaa klingana na pesa yako na kingne fani unayo piga tution kwa madogo ili uongeze kipato usikate tamaa kwa umri wako au ungojee ajira bd unaweza kutoka bila kuajiriwa
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.