Recent content by Yangkuku

  1. Y

    Ni gharama kubwa kuwa na Mwanasheria mzuri asiye na uzalendo

    Lisu ni pumba ndani ya Bunge!! hana uzalendo wala hana lugha ya Kibunge! mdomo umejaa matusi utafikiri hapigi mswaki!
  2. Y

    Kwa mara nyingine tena, hapa ndipo anapokosea Rais Magufuli

    Mkosoaji anadhani sisi ni mbumbumbu kama yeye au?
  3. Y

    Kutoka Ikulu: Kamanda Simon Sirro aapishwa kuwa IGP, amrithi Ernest Mangu

    Tena kumbe ana shahada ya sheria ..safi kabisa anafaa kua hapo.
  4. Y

    Kutoka Ikulu: Kamanda Simon Sirro aapishwa kuwa IGP, amrithi Ernest Mangu

    Duh,napajua huko Mriaza kijiji B , ozomilye mbane,
  5. Y

    John Mnyika: Magufuli Kumteua Muhongo, ni dharau sana kwa Bunge na ni fedheha kwake binafsi

    Well said! hahahaa , hawa machadema ni sawa na nyani haoni kundule! hahahahahahahaha!
  6. Y

    Hivi katika wizara hii kuna waziri kashawahi kutoka salama?

    JK aliwahi kukaa hapo enzi ya Mwinyi alitoka salama salimini, kipindi hicho hicho ndo mikataba ilianza kunukia, na wabunge wengi hawakufuatilia.
  7. Y

    Stephen Wassira aikosoa ilani ya Rais Magufuli ya Tanzania ya viwanda

    Wasira anajitoa ufahamu sasa, maana hata yeye ndo mmoja wa wanakamati wa waliotengeneza hiyo ilani.
  8. Y

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Nampenda sana Raisi wangu, hii kamati imefanya kazi kwa uzalendo mkubwa, namskiliza hapa hadi nataka kulia machozi kwa jinsi ripoti inavyosomwa, kuonyesha jinsi tunavyoibiwa, du!
Back
Top Bottom