Recent content by YAMUNGU OMARY

  1. Y

    Natafuta mashine ya kukamua juisi ya miwa, nipo Dar es Salaam

    Ahsanteh sana chief, Mungu akubariki
  2. Y

    Natafuta mashine ya kukamua juisi ya miwa, nipo Dar es Salaam

    Mungu akubariki sana, Shukran sana
  3. Y

    Nina Uhitaji na mashine hii,naomba msaada.

    Nina Uhitaji wa mashine hii. Nina uhitaji wa mashine ya kusagia vitu vigumu (Multpurpose grain grinders.Ikipatikana used au mpya nitachukua. Nina uhitaji wa mashine hii yenye kuzaga kilo 2,3 hadi 5. Mawasiliano yangu, 0621436829 Dsm
  4. Y

    Je ugonjwa wa pumu unapona?

    Tafuta hii kitu kwenye ukurasa huu huu kuna jamaa ameshawahi kuandika.
  5. Y

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Mtaalam wa Lishe na chakula niko hapa. Mwenye nafasi,naomba Kushikwa mkono. Napatikana Morogoro &Dsm
  6. Y

    Baada ya kushindia maji na matunda kwa siku 30 nimeweza kupungua uzito wa kilo 8 tu!

    Nyama isiyo na mafuta haina shida. Usitumie nguvu kubwa sana kuharakisha kilo zako zitoke kwa haraka, ukitumia nguvu kubwa na kilo zikaondoka kwa haraka utapata changamoto mbeleni. Kilo zitakata kwa haraka Ila ukirudi kwenye ulaji wako, kilo zitapanda kwa kasi maana najua huo utaratibu huwezi...
  7. Y

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Hadhi: Natafuta kazi. Jinsia: Mwanaume Umri:29 Taaluma: Lishe ya Binadamu (Mtaalamu wa Lishe). Uzoefu: miaka 3. Ninaweza kutoa ushauri wa kibinafsi kuhusu lishe kulingana na malengo ya afya ya mtu binafsi, mtindo wa maisha na historia ya matibabu. Ninaweza pia kusaidia kuandaa mipango ya...
  8. Y

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status: Job seeker Sex:Male Age:29 Profession: Human Nutrition (Nutritionist) Experience: 3 years I can provide personalized advice on diet and nutrition based on an individual's health goals, lifestyle, and medical history. I can also help develop meal plans and provide education on...
  9. Y

    Tunafeli wapi kuondokana na tatizo la Presha na Magonjwa ya Moyo?

    Magonjwa ya moyo ni muunganiko wa magonjwa yanayoshambulia moyo, vishipa vipelekavyo/vitoavyo damu kwenye moyo na maumbile yanayotengeneza moyo kwa ujumla (Structural and vessels disease). Moja ya ugonjwa wa moyo unaokuja kwa kasi sana nchini ni Kupanda kwa shinikizo la juu la damu/Presha ya...
  10. Y

    Watanzania wengi hatupendi kujifunza. Mitandao, na hasa YouTube ni darasa Tosha

    Tusaidie unajifunz nin youtube napia account ipi unajifunziaa
  11. Y

    Nawezaje kuwa programmer?

    Naomba mnisaidie nawezaje kuja kuwa programmer na fuate misingi ipi ili nije kufiklia lengo langu
Back
Top Bottom