Naombeni msaada wa kujua dawa ya minyoo, Nimeshatumia aina mbalimbali lakini naona Bado siijafanikiwa,
Mpaka sasa nikienda haja kubwa nahisi minyoo inataka kutoka lakini hawatoki wanarudi tena tumboni.
Naomba msaada wenu.
Naomba msaada wako,
Iwapo mtu anadaiwa na mahakama ikadhibitisha lakini kwa bahati mbaya hana uwezo wa kulipa deni yani hana mali yeyote ya kuweza kulipa hilo deni nini kinatokea,
Iko hivi, kuna ndugu yangu alichukua mali za watu akauza na katika kufuatilia akaja akakamatwa na mahakama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.