Kabila sio issue uzuri wa mtu ni tabia hivyo ni bora ungejikita kwenye kuangalia tabia zaidi kulilko kuangalia kabila. Maana Unavyosema wachaga hawajui mambozi alifanya reseach gani? Wako wachaga ambao wako fiti kupita maelezo utandawazi wote huu ulioenea unafikiri kuna cha mchaga au mzaramo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.