Kwel aisee zacharia maseta n mdogo wako??wajomba wote awaelew.. na mjomba evance yupo sumbawanga sikuwahi kumuona huwa namsikiaa.. ma mkubwa leokadia ndo alienilea tokea mama amefariki nae afaham
Na mim namtamfuta sio kwa ajil ya msaada wake wala nin.. shida yang nimjue tu kama kuumia nimeshaumia sana na n hal nilio izowea kwa mda mrefu sana na ninazid kupambana nayo
Nmeenda kufika nmekuta watu wengi wapya wengne nimewasahau yan purukushan hadi basi..lakin sahiv mim nimeamia mby alipozikwa mama labda ndio nitaendelea kufuatilia taratibu kuhusu mama
Mama yangu alikuwa ni mfipa lakin kwa kumbu kumbu zangu cjawah kusikia kama ameishi sumbawanga zahid ya kwenda kusalimia na kurudi.. na hapo hapo alikuwa mtumishi wa serikal kuptia askar magereza.. na ktu kingine ninachofaham kuhusu ukoo wa mama angu n kuwa hakuna ukaribu kila mtu anaishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.