Ni kweli kabisa. Binfasi X alinifuata kwa mambo mawili. Kwanza alitaka amkonvice mchumba wake mimi niwe best man wao nikagoma. Nikaletewa kadi nihudhurie send off yake na nilienda.. Baada ya sendoff akataka nikamkande siku ya Ijumaa ambapo Jumamosi ni harusi yake. Nikaona kabisa nilikuwa natoka...
Du, huu ni upuusi wa kiwango cha SGR. Juzi wakati Iran inarusha makombora, anga la Israel haikulindwa na huyo mungu wa Israel bali na technolojia ya ku neutralise makombora. Vita ni technology sio imani.
Habari wana JF.
Naombeni ushauri kwa mafundi au yeyote anayeweza kujua tatizo la gari langu.
Nina gari aina ya Hirrier vijana wanaita (matako ya nyani). Gari hili nimenunua mwishoni mwa mwaka 2018.
Takribani miezi mitatu, gari lilianza tatizo la kushtuka stuka (inakita) ukiwa mwenye mwendo. ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.