Habari wana JF.
Naombeni ushauri kwa mafundi au yeyote anayeweza kujua tatizo la gari langu.
Nina gari aina ya Hirrier vijana wanaita (matako ya nyani). Gari hili nimenunua mwishoni mwa mwaka 2018.
Takribani miezi mitatu, gari lilianza tatizo la kushtuka stuka (inakita) ukiwa mwenye mwendo. ...
Hongereni kwa majukumu ya kazi wadau wa mawasiliano. Naomba kutoa ushauri kwa makampuni ya simu kuondoa matumizi la line nyingi kwa huduma zinazofanana.
Wazo hili limenijia baada ya kutakiwa kusajili line nyingi kwa matumizi yaleyale kama jina langu. Nilifungua biashara A ambayo nilihitaji kuwa...
Kuna mikeka niliweka jana ya team win to nil NO zote nimepata bila kujali timu niliyochagua imeshinda au imefungwa. Bado sijapata mwafaka wa draw sasa either wa magoli au bila bila. Uthibitisho hapa chini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.