utashangaa analalamika mke wangu nampa kila kiru ila hariziki,kumbe unavyomhudumia hata kwao alikua anahudumiwa tena zaidi yako.kigeni ni hapo kati bwuana.
Nijuavyo mie wasukuma wanajua kupenda,mtu yeyote akipenda hatoona ajabu kutoa ama kufanya lolote kwa ajili ya mke wake,sasa wewe kama umeolewa na chagga au pale jipange kua mjasiliamali maana changu changu chako tafuta mwenyewe.natamani ningeolewa na msukuma mwenzangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.