Recent content by Yakale dhahabu

  1. Y

    Baadhi ya sababu zinazomfanya mwanamke kutoka nje ya ndoa

    hahahaaa,simaanishi mkuu,kuna vibamia wakunaji na vibamia watekenyaji.hujatofautisha mkuu.
  2. Y

    Baadhi ya sababu zinazomfanya mwanamke kutoka nje ya ndoa

    pengine king'ang'anizi,ukimkataa anatia huruma anavyolialia,unamkubali tu then msaidizi awepo
  3. Y

    Baadhi ya sababu zinazomfanya mwanamke kutoka nje ya ndoa

    utashangaa analalamika mke wangu nampa kila kiru ila hariziki,kumbe unavyomhudumia hata kwao alikua anahudumiwa tena zaidi yako.kigeni ni hapo kati bwuana.
  4. Y

    Baadhi ya sababu zinazomfanya mwanamke kutoka nje ya ndoa

    sababu zako ni sawa,ila mbaya kuolewa na mwenye kibamia,lazima tu kusaidiwa mzee.
  5. Y

    Baadhi ya sababu zinazomfanya mwanamke kutoka nje ya ndoa

    mhuuuu,kwani hua wanachepuka na mnyama jamani?
  6. Y

    Nimeumia sana baada ya kuona mwanaume ninayempenda akitafuta mke jukwaa là Love connect

    ili ujue yuko serious au ni jokes,tangaza nawe watafuta mme.mkikutana kwenye sahani moja ni rahisi kujua nani mrafi.
  7. Y

    Mama mkwe kwa tabia hii ipo siku utanitambua mimi ni nani

    mhuuu pole,nasubiri mrejesho.huyo ni mhenga wa kisasa.
  8. Y

    Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

    no matter what,the reality wil make people on their reality.
  9. Y

    Maalim Seif: Si aibu kupata msaada kutoka nje kuchunguza shambulio la Tundu Lissu

    ingefanyika hivyo toka wafe ndugu zangu kibiti ningeunga mkono hoja,ila kwa sasa mhuuuuu.
  10. Y

    Wasukuma acheni ulimbukeni kwenye mapenzi

    Nijuavyo mie wasukuma wanajua kupenda,mtu yeyote akipenda hatoona ajabu kutoa ama kufanya lolote kwa ajili ya mke wake,sasa wewe kama umeolewa na chagga au pale jipange kua mjasiliamali maana changu changu chako tafuta mwenyewe.natamani ningeolewa na msukuma mwenzangu
  11. Y

    Simlaumu mama kwa kunipenda namlaumu mganga aliyenichanja chale kama alama za ng'ombe

    mgodo visa!!!!!,Hahahaaaa,utakua hujamtendea haki unaeenda kinyume nae maana pengine hajui alichanjwa na nani
Back
Top Bottom