Recent content by Xmonster

  1. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Tanga kuna nini mbona wapo nyuma sana?

    wee unakichaaa
  2. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kikubwa cha Dangote Cha kusafisha mafuta Kujengwa East Africa.

    Bilionea Aliko Dangote ametangaza mpango wake wa kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (refinery) Afrika Mashariki.Tanga, Tanzania Akizungumza katika mkutano wa Africa We Build Summit 2026 uliofanyika Nairobi siku ya Alhamisi, Dangote alisema kuwa kiwanda kinachopendekezwa kitakuwa na uwezo wa...
  3. Xmonster

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Chuo gani kinafundisha short course za FIRE FIGHTING?

    Nitafute Dm nikusaidie
  4. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Moto unawaka ndani ya Kiwanda cha Cotex cha Africana (Dar es Salaam)

    Ifike wakati viwanda viache ubahili viajiri fire warden au fire safety officer ili kuondokana na kupunguza haya majanga
  5. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

    Baba kantuma nafasi zenu hizo
  6. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Tatizo kubwa ni uelewa kuna watu hawaelewi kuwa Jeshi la zimamoto ndio Jeshi lenye Askari wachache Tanzania kuliko vikosi vyote na ndio pia kitengo chenye vitendea kazi vichache pia kingine ni Jeshi lililoanzishwa hivi karibuni ilipaswa tuwe na Askari wakutosha na magari ya kutosha,Suala la Moto...
  7. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mwenye lonja yoyote nasikia zimamoto wanakuja
  8. Xmonster

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Zimamoto wanakuja lini tena mwenye lonja
  9. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Mkeka wa usaili kwa jeshi la zimamoto unatoka lini?

    Mwenye lonja zimamoto wanakuja lini tena?
  10. Xmonster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

    Elimu yako ya kikoloni ya kukariri ndio unajiona genius hahahaha 😂😂
  11. Xmonster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

    Elimu yako ya kukariri,sidhani kama ni Kweli mtaani kuna jamaa kadhaa na wanawake watatu tofauti wote kawazalisha mapacha,kati ya hao wanawake hakuna ambaye kwao kuna historia ya mapacha
  12. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Naishi Arusha nataka kulima Tanga, naomba ushauri

    Nenda kalime mkonge hutojutia,huko mjini hutopataka sasa hivi mkonge ndio habari ya mjini
  13. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Endelea kuwapigia ramli
  14. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Nifanyie mchongo hapo kwenye u Chief kuna,nije PM
Back
Top Bottom