Recent content by Xmonster

  1. Xmonster

    JamiiForums Tanzania WATEMBEZI JF: ni mkoa gani ulifika na haukupenda experience yako ulivyokuwa pale na wala hautamani tena kurudi?

    Huko ndio baba yangu alipokulia kabla kukimbia
  2. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Wanajisifu eti Wanauchumi mkubwa 😃😃
  3. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Sasa kama ulizingua na jamaa akala tinted si shobo zako, wanaume hatupend ujinga
  4. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Martha Karua, Agather na Boniface Mwangi, watakuja kufafanua vifungu vya sheria ya uhaini vinavyotaka kutumika kumtia hatiani Tundu Lissu?

    Sheria ifate mkondo lisu ni mhaini tu. Serikali takatifu imshughulikie
  5. Xmonster

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaalika Watu wote Duniani kuhudhuria kesi ya Tundu Lissu 10/08/2026, yumo Martha Karua wa Kenya aliyewahi kuzuiwa na serikali ya Tanzania

    Lisu hamna kitu,sisi tunahesabu miaka ya kukaa gerezani hadi atembee na mkongojo, lisu gaidi tu
  6. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Ni kweli hii ndo orodha ya Miji iliyodumaa Tanzania?

    Mkoa gani unakosa wasenge, hapo dsm ndipo makao makuu ya masenge, Huna hoja kaa kwenu
  7. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Story zenu za kahawa
  8. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Kwa takwimu rasmi za hivi karibuni, Bandari ya Tanga imefikia takribani wafanyakazi 17,000 wa kutwa (casual workers) kwa mwezi. Kabla ya maboresho: takribani 6,000 wafanyakazi wa kutwa. Baada ya maboresho: wameongezeka hadi 17,000 kwa mwezi. Ajira za kudumu zimeongezeka kutoka karibu 200 hadi...
  9. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Kwann nisiipende na ipo Tanzania, Munapenda sifa mussizo nazo hiyo ndio shida
  10. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Bandari kavu zimeongezeka idadi ya magari yanayoingia tanga city ni mengi yakija kwa shughuli za bandari hawa wote wanalala Wanatumia wanakunywa, wanapata huduma nyengine wanachangia mzunguko wa hela, Rwanda sasa hivi rasmi inachukua mafuta kupitia bandari ya Tanga, yapo makampuni mengi ya...
  11. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Bandari, reli vyote vinafanya kazi hukuliona hilo, kwa majuzi hapa walitoa taarifa bandari ya tanga na kupitia TRA walikusanya billion 443 nadhani mwaka huu, Mradi wa Chongoleani Eacop umeibadilisha sana tanga na sahivi mradi unaelekea ukingoni ajira nyingi sana zimepatikana kwa wazawa na...
  12. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Jiji la Mbeya: Hapa Wabongo tumechemka

    Hamna kitu mbeya wanaboa wanavyopenda kusifia kwao alafu ukifika hamna kitu,kijiji Kilichoumuka
  13. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Ipo Karibu na ofisi za bodi mkonge Tanzania upande wa bandari kama wakaribia posta au usawa wa hiyo mkwabi. Kuna jengo nadhani ni nyumbani hotel au Karibu pia na jengo la casa chica
  14. Xmonster

    JamiiForums Tanzania Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

    Hizi story za kahawa na vijiweni hamna ukweli wowote hapa
Back
Top Bottom