Recent content by Xmonster

  1. Xmonster

    Moto unawaka ndani ya Kiwanda cha Cotex cha Africana (Dar es Salaam)

    Ifike wakati viwanda viache ubahili viajiri fire warden au fire safety officer ili kuondokana na kupunguza haya majanga
  2. Xmonster

    Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

    Tatizo kubwa ni uelewa kuna watu hawaelewi kuwa Jeshi la zimamoto ndio Jeshi lenye Askari wachache Tanzania kuliko vikosi vyote na ndio pia kitengo chenye vitendea kazi vichache pia kingine ni Jeshi lililoanzishwa hivi karibuni ilipaswa tuwe na Askari wakutosha na magari ya kutosha,Suala la Moto...
  3. Xmonster

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mwenye lonja yoyote nasikia zimamoto wanakuja
  4. Xmonster

    Mkeka wa usaili kwa jeshi la zimamoto unatoka lini?

    Mwenye lonja zimamoto wanakuja lini tena?
  5. Xmonster

    Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

    Elimu yako ya kikoloni ya kukariri ndio unajiona genius hahahaha 😂😂
  6. Xmonster

    Furaha ilioje, leo mimi ni baba wa mapacha!

    Elimu yako ya kukariri,sidhani kama ni Kweli mtaani kuna jamaa kadhaa na wanawake watatu tofauti wote kawazalisha mapacha,kati ya hao wanawake hakuna ambaye kwao kuna historia ya mapacha
  7. Xmonster

    Naishi Arusha nataka kulima Tanga, naomba ushauri

    Nenda kalime mkonge hutojutia,huko mjini hutopataka sasa hivi mkonge ndio habari ya mjini
  8. Xmonster

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Endelea kuwapigia ramli
  9. Xmonster

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Nifanyie mchongo hapo kwenye u Chief kuna,nije PM
  10. Xmonster

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Napataka huko kwa bakhresa mkuu, unaweza tusaidiane vijana wenzio tujikwamue mkuu, Naomba feedback kama utaftilia huko kwa bakhresa
  11. Xmonster

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Ndio mkuu sahiv nipo huko na kampuni ya SGA,ningefurahi kama nitapata kwa upande wa unguja ambapo wanalipwa laki 5 +
  12. Xmonster

    Fursa za kazi kwa vijana zilizopo Tanzania

    Mkuu leta za security pia 🙏
Back
Top Bottom