Kwa takwimu rasmi za hivi karibuni, Bandari ya Tanga imefikia takribani wafanyakazi 17,000 wa kutwa (casual workers) kwa mwezi.
Kabla ya maboresho: takribani 6,000 wafanyakazi wa kutwa.
Baada ya maboresho: wameongezeka hadi 17,000 kwa mwezi.
Ajira za kudumu zimeongezeka kutoka karibu 200 hadi...
Bandari kavu zimeongezeka idadi ya magari yanayoingia tanga city ni mengi yakija kwa shughuli za bandari hawa wote wanalala Wanatumia wanakunywa, wanapata huduma nyengine wanachangia mzunguko wa hela, Rwanda sasa hivi rasmi inachukua mafuta kupitia bandari ya Tanga, yapo makampuni mengi ya...
Bandari, reli vyote vinafanya kazi hukuliona hilo, kwa majuzi hapa walitoa taarifa bandari ya tanga na kupitia TRA walikusanya billion 443 nadhani mwaka huu, Mradi wa Chongoleani Eacop umeibadilisha sana tanga na sahivi mradi unaelekea ukingoni ajira nyingi sana zimepatikana kwa wazawa na...
Ipo Karibu na ofisi za bodi mkonge Tanzania upande wa bandari kama wakaribia posta au usawa wa hiyo mkwabi. Kuna jengo nadhani ni nyumbani hotel au Karibu pia na jengo la casa chica
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.