Recent content by Xiuying

  1. X

    Aptitude test TCB

    Kwa hyo mlifanya written na oral au?
  2. X

    Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

    Walimu wanaojit Kwani walimu wanaojitolea wamepewa kipaumbele?
  3. X

    Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

    Pale kwene machagua unapakia na sehemu ipi tena?
  4. X

    Rais Samia aridhia TAMISEMI kuajiri watumishi 21,200 kada ya Afya na Elimu

    Nauliza je wanaambatanisha barua ya kujitolea ?
  5. X

    Bingo Natafuta kazi yoyote halali, Ndani Ya mkoa wa Mwanza

    Habari wana jamii forum, Mimi Binti, Elimu yangu ni kidato cha 4. Natafuta kazi yoyote halali ndani Ya mkoa wa Mwanza . Nipo tayari kufanya kazi pia katika (kazi za ndani, viwandani na kuuza duka, na stationary ). Naombeni msaada kwenu tafadhari. Mwenye connection yoyote aje DM.
  6. X

    Natafuta yoyote kazi yoyote halali Kati ya hizi (kazi za ndani, Dukani , viwandani au Mgahawani)

    Elimu yangu ni kidato cha nne. Jinsia yangu ni ke. Natafuta kazi ndani ya mkoa wa Mwanza kama inavyojieleza katika kichwa cha habari. Naombeni msaada wenu tafadhari. Nawaomba uni DM Kama uko tayar kunisaidia
Back
Top Bottom