Habari wana jamii forum,
Mimi Binti, Elimu yangu ni kidato cha 4. Natafuta kazi yoyote halali ndani Ya mkoa wa Mwanza .
Nipo tayari kufanya kazi pia katika (kazi za ndani, viwandani na kuuza duka, na stationary ). Naombeni msaada kwenu tafadhari. Mwenye connection yoyote aje DM.
Elimu yangu ni kidato cha nne. Jinsia yangu ni ke. Natafuta kazi ndani ya mkoa wa Mwanza kama inavyojieleza katika kichwa cha habari. Naombeni msaada wenu tafadhari.
Nawaomba uni DM Kama uko tayar kunisaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.