wadau wote na wanachi kwa ujumla. Msikose kuangalia Mkutano wa UKAWA utakaorushwa na kituo cha itv kuanzia 12: - 1:30 usiku.
Mkutano utakua na lengo moja. Mipango na mikakati ya kampeni ikiwemo na kuzindua Mfuko maalum wa changia mabadiliko.
Wahusika ni viongozi wa kuu wote wa UKAWA...
CCM ninayoijua mimi ilikuwa haiwezi kuwaita wananchi wake wapumbavu na malofa, sio ccm ile ya Nyerere niliyoijua Mimi - Masha Bukoba
Nasikitika kusikia kuna vijana walikuwa wamebeba mabango ya UKAWA wamekamatwa,Polisi tendeni haki msitumike - Masha - Bukoba
Kuna taarifa tumezipata kwamba...
Eti makala kapewa ukuu wa mkoa,Kweli?
Si alikuwa waziri juzi juzi tu,Inamaana hata huko ccm hamna watu wengine wangeweza kazi hiyo na hawana kazi?
Nchi ya watu wachache,October 25 mwisho wao.
Wataondoka watake wasitake ccm ovyo kabisa
Ukiifatilia utajua kabisa ni kitu kilichotengenezwa,
kwanza kingereza chake tu ni majanga,
pili wametumia mji wa Athenes ambao uko Ugiriki badala ya kutumia Brussels ya Ubelgiji,
Tatu, kana EU lazima kuwe na aidha msemaji wa EU au Rais wa EU kitu ambacho hakikufanyika.
nimeongea nao wengi...
Tuhamashishe marafiki zetu..wapige simu mikoan kwa ndg zao ili tuunganishe nguvu za kuleta mabadiliko.
Pia kila mmoja wetu popote aendapo asiache kushawishi watu hata wa3 kwa siku ili tuwe na nguvu zaidi..
Itakuwa vizuri tukishare kati yetu namna nzuri ya kutafuta wafuasi.
J2...
Tuhamashishe marafiki zetu..wapige simu mikoan kwa ndg zao ili tuunganishe nguvu za kuleta mabadiliko.
Pia kila mmoja wetu popote aendapo asiache kushawishi watu hata wa3 kwa siku ili tuwe na nguvu zaidi..
Itakuwa vizuri tukishare kati yetu namna nzuri ya kutafuta wafuasi.
J2...
Tunajua mnatumia sana tbccm na starccmtv kwa propaganda zenu bila kujua kuwa Rais wenu ajaye ni lowassa, siji aibu mtazificha wapi?
ITV ni kituo binafsi kinatoa habari kwa ku balance maeneo yote
kama umefatilia vizuri wameanza na Samia, wakaja Duni wakaenda ccm wakarudi tena Ukawa kwa Lowassa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.