Brother hemed bakayoko haishi ufaransa huyu Kwa sasa ni maremu alishawahi kua waziri mkuu ivory coast na kama unafatilia vizuri nyimbo za fally ipupa hivi karibuni , huyu Mzee mpaka alikua anapanda jukwaani kucheza fally akiperform.
anamtaja kabisa na analiza na rip
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.