Recent content by XASKEYGY

  1. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Kabla hujatukana Serikali, kwanza elewa Serikali ni nini?

    Umejitahidi kueleza vizuri
  2. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Henry Kilewo: CHADEMA ya sasa sio ile iliyopita, hii achaneni nayo

    Tusubiri tuone
  3. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Swali langu kwa wanaJF:

    Shida kubwa Urais ni taasisi inayoendeshwa na watu wengi...
  4. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Swali langu kwa wanaJF:

    Hii wanasema italeta ushindani baina ya majimbo kama kila jimbo litapata kiongozi mwenye wivu wa maendeleo...
  5. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Swali langu kwa wanaJF:

    Ushauri mzuri sana Mkuu
  6. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Swali langu kwa wanaJF:

    Nimeona kila mtu analaumu kila kinachofanyika serekalini, wengine wakiweka matumaini kuwa Upinzani ukishika Dola mambo yatakuwa sawa, but wanasahau baadhi ya nchi za Africa ambazo upinzani ulikuja kushika dola na baada ya hapo ukaanza kufanya mambo yale yale ambayo walikuwa wakiyakemea... So...
  7. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Wakuu nchi inauzwa tuitisheni maandamano haraka iwezekanavyo

    Hahahaha
  8. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Muogope sana mwanamke anayekwambia anakupenda hata kama hauna hela

    Me nina wasi wasi huyu mwenye huu uzi sio Mwanaume...!!!
  9. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania unamchukuliaje mtu mwenye dread kichwani…?!!

    Mtu mwenye hehima zake hawezi weka huo upuuzi!
  10. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Leo nimeaibika sana, roho inauma

    Japo unampa njia uzinzi...! Lakini ni Msaada mkubwa na mzuri ambao unawafaa vijana wengi na hata kupunguza matumizi ya madawa ya uongo (Nguvu za kiume).
  11. XASKEYGY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: KEMRI watabiri wimbi la nne kuja katikati ya Julai

    Huu ujinga sijui utaisha lini!
  12. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Kielelezo kingine cha udikteta aliouacha Hayati Magufuli ni kuua media kabisa

    Huyu mh. Muacheni jamani ameenda tayari...!
  13. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

    Hizi nyuzi JF zimejaa...!!!
  14. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Katika dunia ya sasa, mheshimu sana yule anayefunga safari kuja kukutembelea "physically"

    Nyuzi Kama hizi...humu JF zimekuwa adimu sana siku hizi!
  15. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

    Samahani ndugu, una ushahidi na unachoongea...? ni maneno ya Tweeter?
Back
Top Bottom