Recent content by XASKEYGY

  1. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Muogope sana mwanamke anayekwambia anakupenda hata kama hauna hela

    Me nina wasi wasi huyu mwenye huu uzi sio Mwanaume...!!!
  2. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania unamchukuliaje mtu mwenye dread kichwani…?!!

    Mtu mwenye hehima zake hawezi weka huo upuuzi!
  3. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Leo nimeaibika sana, roho inauma

    Japo unampa njia uzinzi...! Lakini ni Msaada mkubwa na mzuri ambao unawafaa vijana wengi na hata kupunguza matumizi ya madawa ya uongo (Nguvu za kiume).
  4. XASKEYGY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: KEMRI watabiri wimbi la nne kuja katikati ya Julai

    Huu ujinga sijui utaisha lini!
  5. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Kielelezo kingine cha udikteta aliouacha Hayati Magufuli ni kuua media kabisa

    Huyu mh. Muacheni jamani ameenda tayari...!
  6. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Huyu single mother nasitisha mara moja kumuoa

    Hizi nyuzi JF zimejaa...!!!
  7. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Katika dunia ya sasa, mheshimu sana yule anayefunga safari kuja kukutembelea "physically"

    Nyuzi Kama hizi...humu JF zimekuwa adimu sana siku hizi!
  8. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

    Samahani ndugu, una ushahidi na unachoongea...? ni maneno ya Tweeter?
  9. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

    Salum Hamdun ni ACP...!?
  10. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu kuzungumza na Wazee wa Dar es Salaam Ijumaa Mei 7, 2021

    Soma hiyo taarifa kwa utulivu...
  11. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Huduma: Host Website/System yako kwa Tsh 1,000/= tu kwa mwezi

    Asante!
  12. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Huduma: Host Website/System yako kwa Tsh 1,000/= tu kwa mwezi

    Hii post imenivutia Sana, ila Kama sijaelewa vizuri, Mkuu!
  13. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Karibu Nyumbani Baba.....!!!

    Hahahaha hahahaha! Jibu matata Sana!
  14. XASKEYGY

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli alionesha mara kadhaa kuwa ni mgonjwa wa moyo

    Wengine walisema unatumia machine...!
Back
Top Bottom