Kaa kimya lea watoto wako, kuhusu kumfumania mwambie nimekusamehe kiroho safi na usikumbushie then usilalamike kama hataki kutoka na wewe au watoto,fanya wajibu wako,jikeep bize na shughuli zako,jipende,fanya ibada sana na wekeza muda wako kwa watoto wako,toka nao,cheza nao na uwahudumie vizuri...