Recent content by xallito

  1. X

    Narudia tena Rurion Kenshin ni movie bora kwa muda wote

    Hii movie ni kali sana sana yanii unapigwa mkono humo balaaa
  2. X

    Maonyesho ya nyama na ufugaji Toronto Canada

    Sawa mkuu ila nimetoa utangulizi tuu na badae nikaweka link ambayo unaweza kwenda kwenye tovuti kupata taarifa zaidi.
  3. X

    Maonyesho ya nyama na ufugaji Toronto Canada

    Salaam, Ningependa kuwahabarisha wafugaji ,wauzaji na wasambazaji wa bidhaa za nyama (red meat & white meat) kutakua na maonyesho ya nyama na ufugaji Toronto Canada tareh 4 mpk 6 February 2021 ambapo wafanya biashara na wawekezaji wakubwa kwa wadogo wa nyama na ufugaji watakutana kuonyesha...
  4. X

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Inawezekana mkuu as kweny kujilipua njia yoyote inatumika ni kama vita tuu huchagui silaha...cha kufanya kwanza upate admission ya chuo then uombe student visa na student visa ni moja ya visa ambayo success rate yake ni kubwa tofaut na visa nyingne
  5. X

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Ni kuna mji kule ina upungufu wa wafanyakazi na kuna professional zinahitajika sna hasa health and engineering japo hata kwa nyingne unaweza kuomba kwa skilled labour uwe kuanzia na bachelor degree Kupata offer letter ya kampuni yyte kule kwenda kufanya kazi lazma kwnza waitangaze hyo kazi...
  6. X

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Ndio hasa canada mkuu unaweza kwenda kupitia skilled labour immigrant program
  7. X

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Kuhusu visa Wanaotaka visa ya USA, Canada, UK, Australia na SCHENGEN countries (France, Germany, Italy, Sweden, Denmark e.t.c) kuanzia kusaidiwa kupata invitation letter mpka maandaliz ya interview na document zote hitajika na kwa wanafunz pia wanaotaka kwend a kusoma nje ya nchi Ni PM au uliza...
  8. X

    Kupata visa

    Una invitation tayar au hauna mkuu
  9. X

    Hivi ni kwamba Canada hawatoi VISA siku hizi au tatizo ni nini?

    Kwa wanaohitaji visa ya canada, USA na SCHENGEN countries (France, Italy, Sweden, Finland Germany) kuanzia invitation mpka maandaliz ya interview..ni Pm au uliza hapa swali lolote ntakujibu
  10. X

    Kupata visa

    Document mkuu
  11. X

    Nini kinahitajika kupata visa ya Canada?

    Kama yeye ata accomodate kila kitu ukifika kule bas yy anatakiwa kuprove financial stability yake kama ataweza then anakukatia ticket na kila kitu yeye? Ww unajihisisha na nini hapa Tz? Km unafanya kaz au biashara jitahid uweke statement hata yenye hela kias wakuone una kitu angalau maana...
  12. X

    Nini kinahitajika kupata visa ya Canada?

    Medical check up labda kama ni mwanafunz ila kwa tourist sio lazma cha msingi uwe na kitab cha yellow fever kwajil ya kupita airport Finger print kwa canada kuna kuchukuliwa biometric (fingerprint na picha) ambazo zinafanyika pale pale ofsin kwao hyo ya wizarani pale mambo ya ndani ni police...
Back
Top Bottom