Salaam,
Ningependa kuwahabarisha wafugaji ,wauzaji na wasambazaji wa bidhaa za nyama (red meat & white meat) kutakua na maonyesho ya nyama na ufugaji Toronto Canada tareh 4 mpk 6 February 2021 ambapo wafanya biashara na wawekezaji wakubwa kwa wadogo wa nyama na ufugaji watakutana kuonyesha...
Inawezekana mkuu as kweny kujilipua njia yoyote inatumika ni kama vita tuu huchagui silaha...cha kufanya kwanza upate admission ya chuo then uombe student visa na student visa ni moja ya visa ambayo success rate yake ni kubwa tofaut na visa nyingne
Ni kuna mji kule ina upungufu wa wafanyakazi na kuna professional zinahitajika sna hasa health and engineering japo hata kwa nyingne unaweza kuomba kwa skilled labour uwe kuanzia na bachelor degree
Kupata offer letter ya kampuni yyte kule kwenda kufanya kazi lazma kwnza waitangaze hyo kazi...
Kuhusu visa
Wanaotaka visa ya USA, Canada, UK, Australia na SCHENGEN countries (France, Germany, Italy, Sweden, Denmark e.t.c) kuanzia kusaidiwa kupata invitation letter mpka maandaliz ya interview na document zote hitajika na kwa wanafunz pia wanaotaka kwend a kusoma nje ya nchi
Ni PM au uliza...
Kwa wanaohitaji visa ya canada, USA na SCHENGEN countries (France, Italy, Sweden, Finland Germany) kuanzia invitation mpka maandaliz ya interview..ni Pm au uliza hapa swali lolote ntakujibu
Kama yeye ata accomodate kila kitu ukifika kule bas yy anatakiwa kuprove financial stability yake kama ataweza then anakukatia ticket na kila kitu yeye?
Ww unajihisisha na nini hapa Tz?
Km unafanya kaz au biashara jitahid uweke statement hata yenye hela kias wakuone una kitu angalau maana...
Medical check up labda kama ni mwanafunz ila kwa tourist sio lazma cha msingi uwe na kitab cha yellow fever kwajil ya kupita airport
Finger print kwa canada kuna kuchukuliwa biometric (fingerprint na picha) ambazo zinafanyika pale pale ofsin kwao hyo ya wizarani pale mambo ya ndani ni police...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.