Nini kinahitajika kupata visa ya Canada?

Nini kinahitajika kupata visa ya Canada?

Habar mkuu
Kweny visa canada kitu cha kwanza kuzingatia kukusaidia kupata visa ni kuonesha (ties to home country) je una nini kitakufanya urudi una familia, una biashara ,una assets gani ? Hvyo vyote inakua proved na documents as visa ya canada haina interview kama USA so unatakiwa uprove kila kitu kaa documents as utafikia wapi mwenywe wako kule yupo legally anafanya kaz gani ?analipa kodi? Ana uwezo wa kukuaccomodate?
Ww hapa unafanya kazi gani km biashara uoneshe leseni
Kama umeajiriwa barua ya mwajir lazma
Nan afasimamia safar yako?
bank statement kuonesha una kiasi cha fedha?
Na vithibitosho vingne ving
Ila uisahau kumuomba Mungu pia maana visa ina mambo meng
Kwa msaada zaid juu ya mchakato wa kupata visa ya canada au USA ni PM

Yeye kaniambia ata accommodate kila kitu , baada ya mm kufika kule, je kuna haja ya kuwa na bank statement??




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ss huko anaenda kwa nani na kufanya nn?,mwenzako Canada kaalikwa kupumzika cku kadhaa kisha arejee bongo,atalala na kula bure na sio ajabu na ticket katumiwa,we unamletea habar za cjui Australia na Japan,... Mwenzako anataka mteremko

Sent using Jamii Forums mobile app

Kweli, mimi Canada nimealikwa tu, hizo nchi zingine sina mwenyeji


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yeye kaniambia ata accommodate kila kitu , baada ya mm kufika kule, je kuna haja ya kuwa na bank statement??




Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama yeye ata accomodate kila kitu ukifika kule bas yy anatakiwa kuprove financial stability yake kama ataweza then anakukatia ticket na kila kitu yeye?
Ww unajihisisha na nini hapa Tz?
Km unafanya kaz au biashara jitahid uweke statement hata yenye hela kias wakuone una kitu angalau maana ukionekana mchov kabsa watajua ww mzamiaj unaenda tafta maisha
So ushaur hata km jamaa atalipia kila kitu onesha hata uwezo unao kidogo as una kitu unafanya hapa kama ni kazi au biashara mkuu
 
Wakuu, habari.

Kuna mtu amenialika Canada, yeye ni mwenyeji wa huko. Sasa, naomba kufahamishwa requirements zipi nahitajika kuwa nazo ili kupata visa ya Canada.

Thanks, karibuni.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama umealikwa yeye ndo.angepaswa kukurleza yote hayo. Hapa utaambulia matusi tu
 
Habar mkuu
Kweny visa canada kitu cha kwanza kuzingatia kukusaidia kupata visa ni kuonesha (ties to home country) je una nini kitakufanya urudi una familia, una biashara ,una assets gani ? Hvyo vyote inakua proved na documents as visa ya canada haina interview kama USA so unatakiwa uprove kila kitu kaa documents as utafikia wapi mwenywe wako kule yupo legally anafanya kaz gani ?analipa kodi? Ana uwezo wa kukuaccomodate?
Ww hapa unafanya kazi gani km biashara uoneshe leseni
Kama umeajiriwa barua ya mwajir lazma
Nan afasimamia safar yako?
bank statement kuonesha una kiasi cha fedha?
Na vithibitosho vingne ving
Ila uisahau kumuomba Mungu pia maana visa ina mambo meng
Kwa msaada zaid juu ya mchakato wa kupata visa ya canada au USA ni PM

Hivi kama huna hati ya kiwanja/Viwanja ila una zile "offer form/acknowledgement form" kutoka jiji inaweza kusimama badala ya hati? na wakaikubali?
 
Mkuu mim mwezi ulioisha nlikuja na uzi wa visa ya sweden na baadhi ya wadau walinisaidia kufanikisha hiloo .maana mpaka sasa niko hapa Sverige na enjoy ustaarabu wa wazungu kipindi hiki cha winter...kwa kifupi mkuu jitahidi uwe navitu vifuatavyoo..barua ya mualiko,, passport,,uwe na travel medical insurance sina uhakika kwa canada ingawa ni muhimu sana,cheti cha kuzaliwa, kopi ya passport ya aliekualika,bank statement ya mwenyeji wako pamoja na barua za waajiri wake kuthibitisha ajira yake , invitation form iliyojazwa na mwenyej wako kama ataweza aka i certifie kwa wanasheria huko..pia muhimu ni ku prove kwamba utarudi Tanzania ya kiwanda ya mtukufu jiwe kuja kuendelea ku enjoy flyover ya mfugale na hapa vitu vifutavyoo vinaweza kukufanya utembee kifua mbele ndani ya toronto...cheti cha ndoa ukiwa nacho kitakuboost sana,leseni ya biashara kama huna kazi,bank statement yako,au hata admissions letter kama unataraj jngia chuo,,au hata kama kwenu mnanyumba na unawapangaji rental agreement s zilizosainiwa na advocate itasaidia so gooooooood lucky mkuuuuu na wasalimu hapo ubalozi wa Canada's


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo Sweden natamani kufika nina tsh 3.5Million sina docomaa yeyote naweza kufika? Nisaidie tafadhali

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Habar mkuu
Kweny visa canada kitu cha kwanza kuzingatia kukusaidia kupata visa ni kuonesha (ties to home country) je una nini kitakufanya urudi una familia, una biashara ,una assets gani ? Hvyo vyote inakua proved na documents as visa ya canada haina interview kama USA so unatakiwa uprove kila kitu kaa documents as utafikia wapi mwenywe wako kule yupo legally anafanya kaz gani ?analipa kodi? Ana uwezo wa kukuaccomodate?
Ww hapa unafanya kazi gani km biashara uoneshe leseni
Kama umeajiriwa barua ya mwajir lazma
Nan afasimamia safar yako?
bank statement kuonesha una kiasi cha fedha?
Na vithibitosho vingne ving
Ila uisahau kumuomba Mungu pia maana visa ina mambo meng
Kwa msaada zaid juu ya mchakato wa kupata visa ya canada au USA ni PM
Kwenye suala.la bank statement huwa wanaenda hadi bank kuuliza kama kweli kuna icho kias? Maana mimi ni mtaalam wa ku fake docomaa..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu, habari.

Kuna mtu amenialika Canada, yeye ni mwenyeji wa huko. Sasa, naomba kufahamishwa requirements zipi nahitajika kuwa nazo ili kupata visa ya Canada.

Thanks, karibuni.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Humu ndani mtaalamu wa mambo ya Visa ni Kiduku Lilo
Ni vyema ukamfuata akakujuza kwa undani
 
Wakuu, habari.

Kuna mtu amenialika Canada, yeye ni mwenyeji wa huko. Sasa, naomba kufahamishwa requirements zipi nahitajika kuwa nazo ili kupata visa ya Canada.

Thanks, karibuni.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Huyo aliyekualika, kwa kuwa yuko huko tayari, si ndiye angeulizia huko huko kwamba kuna mtu nataka aje kunitembelea, afanyaje kupata visa? Maelekezo ya humu JF hayatakuwa kamilifu kama atakayoyapata anayeulizia huko huko.
 
VIPI WADAU, KUNA YEYOTE MWINGINE ALIYEFANIKIWA KUPATA VISA YA CANADA NA SOUTH KOREA
 
Nimemisi cocktails za paradiso na mandazi ya jehanamu achana na grants za kuzimu
 
Back
Top Bottom