hizo assumption tuu........Iv ndoa ni LAZIMA ????hebu watu fanyeni ya msingi kuliko kudiscuss personal life...husome humu ndani watu walivo na visa?????
Huyu fabinyo anasoma hiz comment au ????Maana katika list ya matahi..r..a yupo yeye mkewe ..unampiga mtoto wa watu kwa uzembe wako...yaan kwa mshahara gan haswa unaompa
fabinyo
Kwel wewe ni Fabinyo.....ninawaswas na uwezo wako wa kufukiria na kutoa maamuzi...Unakosa utu kiasi iko??Yaan ningekuwa ndo umenipiga NINGEKULOGA....Narudia tena...Ningekuloga...!Iv unajua ni jins gan huyo dada amekuwa msaada kwa familia yako...hela unayompa wala hailingani na makaz...
nadorim
Waambie na wengine ni marufuku kutumia njia za uzaz wa mpango kabla ya kuzaa.Wengi nilioona wanatumia ivo vidonge wamepata shida kwenye kuzaa ...na wakati mwingine hawazai kabisa...Ushauri aende kwa Daktari.Nawashauri kulingana na experiance yangu...wadada ambao hamjazaa msitumie hizo...
trueman ricardo
Umenikumbusha kuna mama jiran mkenya hapa kitaa..jion kila siku lazima afanye homework na wanae..hasubuh lazima awaandae kuwapeleka shule ndo aende kazin japo ana wasaidiz hapo kwake ...Kama anajali watoto kias iko na wew una amani naye...Aisee oa ...
SAWEBOY
Mtoa mada jipanga bhana.....Yaan wewe kitu gan kimekufanya mpaka utoe mada kama hii lakin...Umri hauna Limit ya kuoa wala kuolewa...Nashkuru mungu shule zimeshaanza kufunguliwa.
Kuliko kuzunguka bora uwe direct kabisa ,Ukweli utakuweka huru..wewe mwambie ukweli tu ataumia lakini pi atasahau.Iv unaona raha gani kicheza na hisia za mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.