Recent content by wwg

  1. W

    CHADEMA kuchangisha michango kununua gari jipya la Lissu ni wizi

    Mbona hata serikali tunaichangia kupitia Tozo
  2. W

    20 Greatest Tanzanians Of All Time

    Kwanza wasomi wengi hawatumii akili zao wanatumia akili za wengine wanakalili
  3. W

    20 Greatest Tanzanians Of All Time

    Washamba niware wanaokalili wakiona kitu tofauti na walicho kalilishwa wanashangaa kamfano huo nawewe ni ...
  4. W

    20 Greatest Tanzanians Of All Time

    Acha kukalili
  5. W

    20 Greatest Tanzanians Of All Time

    Kwanini mnapenda watu wote wafanane. Ameamini wasomi wengi hawatumii akili zao wanatumia akili za wengine. kwani alichokiandika hukukierewa unataka aandike kama ulivyo kalilishwa shule
  6. W

    Benki ya Dunia imefichua ukweli kuwa lindi la umasikini linaongezeka kwa watanzania!

    8000 kwako nindogo kwawengine kuipata nivigum hata ukiomba wakusaidie hiyo 8000 serikali inachukuwa mchango unaoitwa Tozo kwenge huo msaada wako
  7. W

    Nimegundua haya

    Na ikitokea ukakuta Huyo Mungu unaemuamini kumbe ndie shetani hapo napo tusemeje
  8. W

    Walimu wa Tanzania ndio maana wanadharauliwa na kila mtu

    Umesahau na Tozo za sim bado
  9. W

    Je, kuna maisha mengine baada ya hapa duniani?

    Hats hao wanaosema kunamaisha baada ya kifo hawajawahi kufa pia
  10. W

    RC Chalamila: Mkiendelea kuchanganya Dini na Siasa huko mbele patatokea mtawala atakayeamua kufunga makanisa yote na hamtamfanya chochote!

    Waanze wao namanisha viongozi wote wa kisiasa wasiwe na dini maana watakuwa wanachanganya dini na siasa wachague moja.
  11. W

    Askofu Mwamakula: Kurekebisha Sheria ya Uchaguzi bila Kubadilisha Ibara kadhaa za Katiba ya JMT itakuwa ni Kazi bure!

    Kwahiyo unamanisha mtu akijiunga nasiasa yampasa aikane dini yake kuepuka kuchanganya dini na siasa?
  12. W

    Ukimsikiliza Prof. Mruma kule Mahakamani utakubaliana na Prof. Mbarawa kwamba kwa sasa Watanzania hawawezi kuendesha Bandari!

    Nahapo ndio tuwe makini nahii miswada ya kibadili sheriya za uwekezaji yasitukute kama haya
Back
Top Bottom