Nawapa mtumaini yeyote atakayeshinda,atajitahid afanye kazi nzuri. Maana hakuna anayependa kuwa na sifa mabaya hali akijua kwamba, yeye sio bora zaidi kuliko aliyemshinda; ila ni fursa tu aliyopewa na wananchi kwa imani njema God Bless Tanzania
Nafikiri CCM inatakiwa wajifunze jambo na eneo lolotete watakalo kuwa wameshinda waache michezo Dunia inabadilika na watu wanabadilika. Wakumbuke walishaambiwa na Mwalimu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.