hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
kwigolyaaaaaaaa
tole kobutongi sana
kwigolyaaaaaaaa
... Kweli wachana na nguvu ya Utu wa mtu...
.... Ufisadi is nothing when it comes to peoples power!!
Watanzania ni umoja ktika utu na ubinaadamu wetu...ndio nguzo ya umoja na ujenzi wa Taifa imara lenye heshima ndani na Nje ya Nchi!!
Ufisadi ni unyama , nguvu ya kutugawanya, kututenga...na kutukosesha kuheshimika kama Tz!
safi kabisa hayo ndo mapinduzi ya kweli pindua mafisadi wote
... Kweli wachana na nguvu ya Utu wa mtu...
.... Ufisadi is nothing when it comes to peoples power!!
Watanzania ni umoja ktika utu na ubinaadamu wetu...ndio nguzo ya umoja na ujenzi wa Taifa imara lenye heshima ndani na Nje ya Nchi!!
Ufisadi ni unyama , nguvu ya kutugawanya, kututenga...na kutukosesha kuheshimika kama Tz!
Tuliona mengi hata watoto nao jamani, hii Tanzania yetu mwelekeo ulikuwa unakwenda wapi? Vitukuu navyo vilianza kutawala .... ..... ..... hata wafanye vipi Gin ikishatoka kwenye chupa kuirudisha haiwezekani.
Ka inzi kamenitumia matokeo haya
Kituo cha hesawa
Wenje 126
Masha 78
Kituo cha BOT
Wenje 111
Masha 71
Kituo cha Kauma
Wenje 135
Masha 38
Kituo cha saa nane
Wenje 120
Masha 30
Nyegezi huko Nasikia Lau kakosa kura kabisa..matokeo zaidi yanazidi kuingia ila tutajua baadaye..Arusha huko kuna balaa zaidi...
Mambo juu ya mambo ila matokeo rasmi baadaye..ila kwenye ubunge kuna upinzani mkali zaidi..
Tarime huko ni noma zaidi
Maneno mazito sana hayo. Bado ni mapema mno kuanza kushangilia lakini tuombe Mungu ili CCM wang'oke madarakani. Hawa jamaa walikuwa na dharau na kiburi cha hali ya juu kutudharau Watanzania kama vile hii si nchi yetu na hata kutamka CCM itatawala milele na hata mafisadi sana na vyombo vya dola na hata viongozi. Kama Kikwete ataanguka basi huu utakuwa ni ushindi mkubwa sana kwa Watanzania wote popote pale walipo wenye mapenzi ya kweli na nchi yetu na siyo mafisadi kama akina Makamba, Rostam n.k. Mungu ibariki Tanzania.
Huko Ilemela jamani nakumbuka Anthony Diallo nilisoma na wadogozake(Anna na David Nyalla) Nyanza Primary walukuwa na malingo hao sasa sijui watajificha wapi hata watu wa ilemela ambako ndiko Star TV iko Chali kweli ??? I cant believe what is happening to my home town jamani khaaaa masha kaka yangu umeniangusha nawe????
Ulimola mkuu? Kijana hawezi kazi ya taifa huyo alikuwa anaharibu sana pale mambo ya ndani. Usalama wa nchi unampa tapeli?
Tehe tehe teheeeeeeeeeeee mambo ni matamu, naona ndg zangu mna nena kwa lugha sasa. Sauti ya umma imeamua; tafadhali muwasiliane na ndg huko Bariadi Magharibi na Mashariki, inasemekana kuna mvutano usio wa kawaida; na wa ccm hawaafiki maamuzi wa umma.
Mola sana wang'wise tuleho yombaga!!!, hamo mbehi Lau Masha chali getegete???? hamo bhasukuma bhatubhga na mbehi hoyo!!!!!
Kijana tokea mwazo aliogopa kuja mwanza kwani kuja kwake tena kuomba kura ni shinikizo la IKULU na kusaidiwa na Ridhwani kura za maoni ndani ya CCM hapo nyamagana kumbukeni hilo