West walishajua walifanya mistake, hizo delay za kupeleka Tanks na silaha kali walishazipanga kutafuta sababu namna gani watajitetea. Kuna watu wanafikiri wanaelwa propaganda vizuri, lakini baada ya muda sio mrefu watajua walikuwa hawajui.
Ni sahihi. Watu wanaojua kuomba, waombe Mungu sana, maana muda simrefu kunashambulio baya sana linaandaliwa. Na visit ya Ebrahim raisi huko china sio hivihivi.
Ni msingi wa muhimu sana, ni kama somo la imla linavyomuandaa mtoto kusoma vizuri. Namna ya kucondition mwili uweze kufanya movement na mapigo automatically. Unapozoea kufanya kitu kila siku, hata inapotokea hatari na ukatakiwa kujiahami, mwanakarate hufanya baadhi ya techniques automatically...
Kaka kwanza pole sana, katika dunia iliyojaa uchafu mwingi tumia njia aliyotumia Mungu kutuacha watoto wake wapendwa hapa duniani huku akitufundisha mema na mabaya na kutup nguvu ya kushinda uovu, wala hakututenga tusione technolojia maana pia ni msaada ikitumika vyema. Una nia njema sana lakini...
Ni muhimu sana kufanya analysis ya kina katika taarifa tunazopata kutoka vyombo vya magharibi ili kuonyesha ukomavu, tukijua hakika kuhusu namna vinavyofanya kazi na kwa kipindi gani.
Ndio vita ilivyo, kupoteza askari na silaha ni kawaida kwa vita zote hata kwa mataifa makubwa. Kwahiyo media za west kusema urussi wamekutana madhila hayo warejee us vietnam war na ops za uarabuni wajitathmini troops ngapi zilipotea. Ni mtu asiyejua vita utakayemwabia warussi wamekufa wengi hiyo...
Pole sana kwa fikra zako. Jifunze kujua kila jeshi lina silaha kuanzia ndogo hadi kubwa.hizo silaha umeona unazoita uchafu zinatumika na mataifa madogo na makubwa ndugu. Ungefanya utafiti mdogo tu google ungejua inatumika na nani na katika level ipi. Sio kila sehemu kwenye vita utaona makombora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.