Recent content by wogakuria

  1. W

    CAG Assad: Bunge letu lina udhaifu, limeshindwa kuiwajibisha Serikali kwa ufisadi

    kwenye huu uzi huwezi kuwaona kina magonjwa mtambuka na rutashobolwa, labda waje kumtukana cag
  2. W

    Ubalozi wa Marekani umefafanua Rasmi kwamba ushauri wa kusafiri sio onyo dhidi ya Tanzania tu bali nchi zote

    Hivi nyie uvccm huwa nut za vichwa vyenu zimelegezwa na nani? Maana hamueleweki mnasimamia nini M
  3. W

    Bulaya amewataka Waziri Jenista Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kujiuzulu

    umesahau mlivyomzodoa esta bulaya siku ameitisha press conference kuongelea kikokoteo chenu, leo mnarudi tena kumsifu jiwe
  4. W

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii(SSRA), Dkt. Irene Isaka

    Mbuzi wa kafara. Muswada ulpelekwa bungeni na waziri na ndiye aliyeupeleka kwa rais baada ya wabunge wa ccm kuupitisha, nadhani ingekuwa vyema kama ingeanzia kwa waziri, wabunge wa ccm ndipo afuate huyo mkurugenzi
  5. W

    Hivi ndivyo kodi zenu zinavyotumika: William Malecela anatalii na gari ya DC Muro

    ume umeisoma hiyo screen shot au unakurupuka tu kutetea ujinga?
  6. W

    Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

    KIkwete alipoulizwa swali kuhusu ushoga na mwandishi wa habari alitoa jibu simple na lililoeleweka "Jamiiyetu watanzania haijawa tayari kuruhusu jambo hilola ushoga". Baada ya jibu hilo hakukuwa na mjadala wowote kwa kuwa alishaufunga kiakili
  7. W

    Sekta binafsi kwa nini mliwafanyia haya watanzania?

    TENA HAO SEKTA BINAFSI WALIKUWA WANASIMAMIWA NA SERIKALI YA CHADEMA
  8. W

    BASATA yawafungia Diamond Platnumz na Rayvanny kufanya onesho lolote. Tamasha la Wasafi lafutiwa kibali. 'Nyegezi' yawaponza

    kama kuandika kwenyewe kunakupa shida hivi, hata wakikueleza huwezi kuelewa
  9. W

    CCM yawasamehe wanachama wake wanne waliofukuzwa. Yamteua Abdallah Mtolea kugombea ubunge jimbo la Temeke

    Vipi kuhusu wale waliocheza kiduku humu jukwaani kupongeza ccm kwa kuwafukuza hao makada, leo wanatuambiaje?
  10. W

    Kuna watu humu wanapotosha mgogoro kati ya Magufuli na Wazungu, sasa ukweli ni huu hapa

    Kwanini mnakwepa kujibu hoja kuni na nne kati ya kumi na tano zilizotolewa na EU?
  11. W

    Nawashangaa sana wanaofurahia ya EU

    Msameheni mwenzenu, hapo tayari kashaingiza siku
  12. W

    Barabara ya Morogoro kwenda Dodoma kujengwa upya

    wanataka kudivert tuhuma toka kwa jiwe
Back
Top Bottom