Mbuzi wa kafara. Muswada ulpelekwa bungeni na waziri na ndiye aliyeupeleka kwa rais baada ya wabunge wa ccm kuupitisha, nadhani ingekuwa vyema kama ingeanzia kwa waziri, wabunge wa ccm ndipo afuate huyo mkurugenzi
KIkwete alipoulizwa swali kuhusu ushoga na mwandishi wa habari alitoa jibu simple na lililoeleweka "Jamiiyetu watanzania haijawa tayari kuruhusu jambo hilola ushoga". Baada ya jibu hilo hakukuwa na mjadala wowote kwa kuwa alishaufunga kiakili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.