Recent content by wizza

  1. W

    Nifanyeje nanyimwa Tunda la Mti wa Katikati?

    Unachotakiwa ni kukaa chini na huyo mkeo na muelezane nn kinachowasibu isijeikawa ana matatuzo yy binafsi lkn kutokana na ukali wak akashindwa kukuambia kinachomsibu na je ni mkeo wa ndoa ya halali au mpnz wako tu wakawaida
  2. W

    embu cheka kdogo

    ]Mama: Mwanangu hebu mpigie simu baba yako mwambie chakula tayari Mtoto: Sawa mama Mtoto: Mama simpati Mama: Bac subir kama baada ya dakika tano mpigie tena inawezekana ni mambo ya network hayo. (baada ya 5 mins) Mtoto: Mama mimi baba simpati simu yenyewe anapokea mwanamke. Mama: Kha! Sawa...
  3. W

    Jinsi ya kuangalia startime bila kulipia

    Hongera broo but mbona kuna kibox kinakaa katikati ya tv hicho kinatolewaje
  4. W

    Mume hanifikishi kisawasawa

    Kumsaliti sio njia sahihi hato hao wanaokushaur utoke nje ya ndoa yak hawana busara utakiwacho ni kukaa na huyo mumeo muweze kuelezan na kujua nn tatizo jambo lingine kama angekuwa hakufikishi kilele usingefanikiwa kuzaa naye jambo ambalo huwa tunalisahau ni vyakula tunavyokula navyo huchangia...
Back
Top Bottom