Kama huna taaluma ya magereza huwezi kuelewa chochote, waachie wanaohusika,hivi kutumikia kifungo cha nje huoni kama umesamehewa adhabu kubwa ya kukaa jela, je wale tulioambiwa wamesamehewa kwa kupunguziwa sehemu ya vifungo vyao na bado wapo jela nao utasemaje?
Wanawake wanatuchanganya sana, ni kweli kabisa ukiwa unaenda kavu kavu tegemea kukutana na maajabu mengi, hivi inawezekana siku ya kwanza ya hedhi mwanamke akashika ujauzito?
Ni wengi wamefunga aina hiyo ya magoli na hakukuwa na shamra shamra za kuzidi,lkn kwa u star wake yawezekana watu walipenda na yeye afunge aina hiyo ya magoli na wamesubiri sana, ghafla imewezekana
Kwa nn wasirudi wakati walienda kwa kujitolea na mkataba umeshaisha?umuhimu unaousema ulikuwepo miaka ya 90,sio miaka ya sasa jombaa, nadhani huelewi kinachoendelea huko.
Simba ni mnyama na chui ni mnyama lkn hawafanani, nyuzi kama hizi huwa ni nyingi humu cjui huwa zinalenga nn hasa, ni vema kuwafananisha simba wa msumbiji na simba wa Tz nadhani inaweza leta maana kuliko kumfananisha simba wa Tz na chui wa Tz wakati ipo wazi kabisa kwamba wapo tofauti japokuwa...
Mchezo huu unampa faida sana mhindi, ss makabwela tunaumia tu kutokana na tamaa zetu, unaweka jero unataka laki, is it possible? Kila cku tunaliwa lkn hatukomi maana wengi tayari ni addicted na mchezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.