Recent content by wizardofthecrow

  1. W

    Manji aondolewa Muhimbili usiku apelekwa Keko, adaiwa kuchukuliwa chini ya ulinzi mkali

    Nakuunga mkono hilo siyo tusi, maana tuliambiwa sana wakati tunacheza tayari badoo na mamako!!
  2. W

    Manji aondolewa Muhimbili usiku apelekwa Keko, adaiwa kuchukuliwa chini ya ulinzi mkali

    Sasa na wewe Mkuu unajua kusoma? Hii thread inasema Manji aondolewa chini ya ulinzi mkali.
  3. W

    Manji aondolewa Muhimbili usiku apelekwa Keko, adaiwa kuchukuliwa chini ya ulinzi mkali

    Huu utawala hautendi haki! Mtu ana matatizo ya moyo unamwondoaje hospitalini? Unataka afe ndo ufurahi? Kama ni visasi wskristu tunaambiwa kisasi ni cha MUNGU! Sasa huyu siyo shetani kweli?
  4. W

    Shilingi mia tano na sh 10 za Tanzania zinafanana sana

    Mbona ya Tsh 500 ni nzito aiseeee??
  5. W

    Nini kilikwamisha kuhakiki vyeti vya kuzaliwa sambamba na kuhakiki vyeti vya shule?

    Kuna MTU nafikri akili zake siyo timilifu! Mimi nashauri kabla rais hajaagiza kukaguliwa vyeti vya kuzaliwa tupimwe kwanza utimilifu wa akili! Na hii iwe kwa wote bila kujali wanasiasa au babake na Bashite!
Back
Top Bottom