naomba kuuliza wadau hivi,katiba hii ni ya chama cha mapinduzi? au ni ya watanzania! na kwa nini hawa ndugu zetu wanaendelea na mijadala ya katiba? kulikoni ccm vs katiba? naomba michango yenu
mi nashindwa kuelewa walimu kulalamikia mishahara midogo nani wa kulaumiwa? je cwt kazi yake ni nn,au kazi yao ni kula pesa za walimu! mfano,kwa musoma vijijin hata pesa za matawi cku hizi kuleta ni tatizo! nchi hii inatupereka wapi,nani atakuwa msaada kwa walimu kama hata chama chao cha walimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.