Daaah!! Zinc eee acha hizo bwana!! mbona kwenye kugegeda hukuomba ushauri kwa wadau? na ulipokuwa unamwagia mwenzio yale maji ya uhai ulitegemea nn? au ulidhani mchezo? we malizana nae km mlivyoanza bwana wacha kumzingua na akija jf hatumpotezei wala nn!! wacha kumnyanyasa bwana daaah wanaume...
Bila matunzo hata huyo utamchoka!! yaonekana unapenda vya bure, ss we endelea tu na huyo mke wa rafiki yako ila ujiandae kufumuliwa hayo marinda yako!!
Mm nimeolewa na wa kutoka mara ikiwa mm ni wa kusini ss alete hiyo mila yake ya kuoa wake wengi km hapajachimbika!! hivi huko si kuleteana magonjwa ndani na kudhalilisha wanawake?shemeji zangu badilikeni jamani!!! looh!
Pia hakuna kuzaa!! so ili uwe binadamu halisi lazima hayo mambo yote unayoyakwepa uyatimize na mwisho uzae km ulivyozaliwa kukwepa hayo ni kuhitimisha uzao wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.