Recent content by wisso1

  1. W

    JamiiForums Tanzania Evarist Chahali (JasusiTV): Dr Emmanuel Nchimbi Yuko mahututi; Taarifa kamili hii hapa

    Apo ndo mvurugano unapokuja sasa..! According to Mzee Warioba hakumpata kuanzia siku inayofuata, Jasusi Tv i confirm kwanz taarifa zake kabla hazijaenda hewan zisiwe na mkanganyiko
  2. W

    JamiiForums Tanzania Mustakabali wa Siasa na Mifumo ya Kiserikali

    Kwa kweli nashindwa kuwaelewa kabisa wanaosema ati Kujiuzulu kwa VP bas the same way ambayo atakayoitumia boss kubwa ⏱️💯 kuachia ngazi. Labda niwaambie tu, me nadhani hamumjui huyu bibi vizur... Ni mroho na mlafi wa madaraka haijawahi kutokea tangu kuzaliwa kwa Tanganyika. Yupo tayari kufanya...
  3. W

    JamiiForums Tanzania Japo bado siamini, hadi itolewe na taarifa ya Ikulu, ila kama ni kweli, basi VP tumpe mkwe ili 2030 awe na VP wake yule binti yetu, 2040 binti apokee

    Kusema kwamba huyo samuya anamzua msoga kutafuna saiv???.🚮 Kama Tanganyika ni ng'ombe bas saiv sio mifupa tena kabaki nyuz nyuz. Wameshiba na kusaza🙄 Kilichobaki ni kuwaandalia na vitukuu vyao ulaji
  4. W

    JamiiForums Tanzania Barua ipo wazi kabisa kuwa ni Fake lakini bado watu wanaiamini jamani someni content ndo mtajua kuwa ni tango pori

    Me mpk nkapata mshtuko wakati nakutana na hyo. So sad😭😭
  5. W

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Huyu mama amewaangusha sana wanawake wenzie. hata zile kelele mara wanawake tunaweza mara sjui nini hazisikiki tena kwasasa, coz Boss ashayatindinganya mambo. Nilipatapo kumsikia mwanamama mmoja akisema Kutokana na jinsi anavyoongoza haamini tena kama wanawake wanaweza kuongoza madaraka makubwa...
  6. W

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Anajali sasa, tena ndo kwanza yuko bize anapiga miluzi
  7. W

    JamiiForums Tanzania Nimedokezwa, Palamagamba Kabudi ameongezewa ulinzi kuelekea Mkutano wa Dharura wa CCM huko Dodoma

    Na ndo hitaji la mabos ilo😅😅 hawataki mtu anayetumia common sense
  8. W

    JamiiForums Tanzania Android Smartphones: Nazipenda sana Samsung lakini nalazimika kuichagua Pixel sababu ya kamera kali na size ndogo ya kuenea kirahisi kiganjani.

    Huyo hakutaka kujifunza kaleta uzi kwa ajili ya ushabiki na kusifia pixel bas. So achana nae tu mkuu, mpe kombe yaishe🙌
  9. W

    JamiiForums Tanzania Pixel 11 vs S26: nani Mfalme Mpya wa Android?

    Karibu nyumban Mkuu!, yah kama ni mtu wa multitasking Z fold itakufaa zaidi. Japo binafsi sijawahi kuvutiwa na simu za kukunja. Ila zinafaa sana katika multitasking heavy duties kama gaming ziko smooth sana, zinaperfom kama mini computer.
  10. W

    JamiiForums Tanzania Pixel 11 vs S26: nani Mfalme Mpya wa Android?

    Na ukweli ni kwamba kama ni mpenzi haswa wa samsung.. ukishaingia kutoka utajiuliza mara mbilimbili. Kwanza ukiongelea samsung achana kwanz na hzo A05,A06,A15 na hizo A series uchwara. At least uanzie hizi latest A30's na A50's apo ndo kidogo utaona what samsung means. Ila ukija kwenye hizi...
  11. W

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kwa ajili ya tetesi mpya za One UI 9.5.

    Habari za wakati huu wana JF, huu ni uzi mahususi kwa ajili ya kujuzana tetesi mpya za One UI 9.5 kwa kadri zinavyozidi kuvuja na kusambaa. Ni takriban miezi mitatu sasa tangu Samsung walipoachia One UI 9.0 beta katika series za S26 katika baadhi ya maeneo. Hata hivyo tukiwa tupo karibu kupata...
  12. W

    JamiiForums Tanzania MASTERCLASS: Jinsi ya Kutumia Samsung Modes & Routines Kuimarisha Ulinzi wa Simu Yako

    Iyo imekaa unyama 💪 Nakuibia iyo😆
  13. W

    JamiiForums Tanzania MASTERCLASS: Jinsi ya Kutumia Samsung Modes & Routines Kuimarisha Ulinzi wa Simu Yako

    Kama akifanikiwa kuiflash eSIM nayo inaondoka, japo ukiwahi haraka sana itasaidia sana kwasababu simu nyingi sasa hivi ni ngumu kuzizima kama hujui PIN au PASSWORD. Japo hizo ni kama hatua za haraka zakuchukia punde tu tukio linapotokea, mwizi mwenyew anaweza akachanganyikiwa akiona simu...
  14. W

    JamiiForums Tanzania List ya Samsung zitakazo pokea mfumo mpya na ratiba kamili

    A05 imeishia android 15 Mkuu!
Back
Top Bottom