Apo ndo mvurugano unapokuja sasa..!
According to Mzee Warioba hakumpata kuanzia siku inayofuata, Jasusi Tv i confirm kwanz taarifa zake kabla hazijaenda hewan zisiwe na mkanganyiko
Kwa kweli nashindwa kuwaelewa kabisa wanaosema ati Kujiuzulu kwa VP bas the same way ambayo atakayoitumia boss kubwa ⏱️💯 kuachia ngazi.
Labda niwaambie tu, me nadhani hamumjui huyu bibi vizur...
Ni mroho na mlafi wa madaraka haijawahi kutokea tangu kuzaliwa kwa Tanganyika.
Yupo tayari kufanya...
Kusema kwamba huyo samuya anamzua msoga kutafuna saiv???.🚮
Kama Tanganyika ni ng'ombe bas saiv sio mifupa tena kabaki nyuz nyuz. Wameshiba na kusaza🙄
Kilichobaki ni kuwaandalia na vitukuu vyao ulaji
Huyu mama amewaangusha sana wanawake wenzie. hata zile kelele mara wanawake tunaweza mara sjui nini hazisikiki tena kwasasa, coz Boss ashayatindinganya mambo. Nilipatapo kumsikia mwanamama mmoja akisema Kutokana na jinsi anavyoongoza haamini tena kama wanawake wanaweza kuongoza madaraka makubwa...
Karibu nyumban Mkuu!, yah kama ni mtu wa multitasking Z fold itakufaa zaidi. Japo binafsi sijawahi kuvutiwa na simu za kukunja. Ila zinafaa sana katika multitasking heavy duties kama gaming ziko smooth sana, zinaperfom kama mini computer.
Na ukweli ni kwamba kama ni mpenzi haswa wa samsung.. ukishaingia kutoka utajiuliza mara mbilimbili.
Kwanza ukiongelea samsung achana kwanz na hzo A05,A06,A15 na hizo A series uchwara. At least uanzie hizi latest A30's na A50's apo ndo kidogo utaona what samsung means. Ila ukija kwenye hizi...
Habari za wakati huu wana JF, huu ni uzi mahususi kwa ajili ya kujuzana tetesi mpya za One UI 9.5 kwa kadri zinavyozidi kuvuja na kusambaa.
Ni takriban miezi mitatu sasa tangu Samsung walipoachia One UI 9.0 beta katika series za S26 katika baadhi ya maeneo.
Hata hivyo tukiwa tupo karibu kupata...
Kama akifanikiwa kuiflash eSIM nayo inaondoka, japo ukiwahi haraka sana itasaidia sana kwasababu simu nyingi sasa hivi ni ngumu kuzizima kama hujui PIN au PASSWORD.
Japo hizo ni kama hatua za haraka zakuchukia punde tu tukio linapotokea,
mwizi mwenyew anaweza akachanganyikiwa akiona simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.