Recent content by wisso1

  1. W

    JamiiForums Tanzania Prof. Anna Tibaijuka amshauri Rais Samia amwachie huru Tundu Lissu

    Maskin!! unatia huruma yan... Pole sana
  2. W

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Maridhiano si udhaifu

    Asa si bora hata wangeiba tungeelewa moja Yani hata hzo kura za kuiba hazikuwepo wakaamua wajitikie watakavyo wenyew🙌
  3. W

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Maridhiano si udhaifu

    Punguza jazba na ukubaliane na ukwel🤧 utakufa mapema ndgu😏
  4. W

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Na maccm walivyo magenius waseme hao wote ni Chadema 😭😭😆😂 Mdogomdogo tutafika tu!✊️✊️
  5. W

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwamba kitambulisho cha taifa (NIDA) sio taarifa binafsi kama asemavyo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Katambi?

    🤧🤧. Miaka mi4 mpka ije kuisha tutakuwa tumeona mengi sana😃
  6. W

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwamba kitambulisho cha taifa (NIDA) sio taarifa binafsi kama asemavyo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Katambi?

    Na ndo maana wanakimbila TBC kubwabwaja upumbavu maana wanajua TBC hawatoweza kuwahoji na kuwabana kwa kina wanaporoka ujinga
  7. W

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwamba kitambulisho cha taifa (NIDA) sio taarifa binafsi kama asemavyo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Katambi?

    Uyo kama kweli ni lawyer anaetegemewa na kuaminiwa basi kama Taifa tuna hali mbaya sana😢
  8. W

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwamba kitambulisho cha taifa (NIDA) sio taarifa binafsi kama asemavyo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Katambi?

    Asa waziri uchwala anatuambia ni public na kisingizio ni kwamba tunafanya besdei😆😆😆
  9. W

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwamba kitambulisho cha taifa (NIDA) sio taarifa binafsi kama asemavyo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Katambi?

    Kuna wakati unamsikiliza kiongozi mkubwa wa serikali akiongea hadharani, unalazimika kushika kichwa na kujiuliza: hivi hawa watu huwa wanasoma hata vile vitabu wanavyoviasaini au huwa wanaongea kwa mihemko na jazba??? Hicho ndicho unachokipata ukimsikiliza Waziri wa mambo ya ndani ya nchi...
Back
Top Bottom