Kuna usanii kwenye hili sakata lotee. Yanga ni wajinga kiasi gani kwa misimu mitatu mfululizo hawajapewa zawadi ya ubigwa? Why madai haya yaje kwenye kuelekea sakata lingine la dabi? Iweje TFF waidhinishe usajili wa wachezaji wa kigeni kwa mkopo? Je ndio utaratibu? Kama sio utaratibu nini kilitokea?
Ccm ni wajinga, wanashindwa kuelewa muamko wa hiyo kesi unatokana na matendo yao na policcm kuhujumu haki za upinzani, matokeo yake Chadema na upinzani wanapata free mileage. Kesi ingeanza kuendeshwa kwa uhuru na haki wala hao wakimataifa wasingevutiwa kufuatilia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.