Recent content by wisewoman

  1. wisewoman

    Ushauri: Hataki tupate mtoto, sijui ana maana gani

    huyo ana mwanamke mwngn na tyr ana mtt/wtt kama sivyo hana mpango na ww ana mtu mwngn ana malengo naye sasa,,,,,,,, vua viatu shika mkononi kunja sketi toka ndukiiiiiiiiiiiiii,,,,,,,,,,
  2. wisewoman

    Wanawake nimewanyoshea mikono

    mh vijana bwana
  3. wisewoman

    Napenda sana wanawake wasio rika langu

    Tatizo lako sio umri tatizo unapenda wanawake ambao tayari wanajiweza kimaisha sababu unaonekana kabisa huna hela za kuwapata vijana/ masista do wanaohitaji kuhudumiwa.
  4. wisewoman

    Mke wangu anataka kutoa ujauzito, kisa eti ni aibu watamsema anaza zaa

    Mkeo anaonekana ana sauti kukushinda ww. Fanya maamuzi magum kama baba mtoto asipozaliwa mwambie atafute pori la kwenda mwaka na nusu mbona mtoto mkubwa kabisa tena mwambie asikushirikishe kwny dhambi ya kuua alaaa!!!!!!!!
  5. wisewoman

    Kama Mnyika au mbunge yeyote mwingine anataka kuondoka CHADEMA mwacheni aondoke

    wanasiasa ni kama wachezaji wa mpira leo yupo simba kesho yanga keshokutwa azam and so on kwa hiyo mwanasiasa akihama hamna mbaya.
  6. wisewoman

    Mke wangu hawezi kabisa kuishi na dada wa kazi

    Mkeo ana roho mbaya tu pia ni mbinafsi acha huyo mdada aondoke halafu aone huo mziki wa mtoto mdogo na kazi atauchezaje.
  7. wisewoman

    Naomba ushauri wa namna ya kumkwepa huyu binti

    Miaka yote unamnaniliu mdada wa watu hukujua kama sio wa hadhi yako saivi ndo unakumbuka hilo hangaika tu utakutana na unachokitafuta.
  8. wisewoman

    Jogoo hasimami asubuhi

    Tafuta mtetea haraka sn
  9. wisewoman

    Nimewachukia sana wanaume mnisamehe

    Ikitokea ukazaa mtt wa kiume tafadhal sn usije ukamuadhibu sababu ya baba yake hy ni dhambi kubwa sn. Lkn hupaswi kusononeka kiasi hicho pengine unaepushwa na balaa. angekuwa amekufa hy mwanaume ungezikwa naye? au usingelea mtt wk? jipange umlee mwanao Mungu atakusaidia
  10. wisewoman

    Kuombwa hela hata kabla ya mapenzi kuanza, maana yake nini?

    Ukiwa na hela za mawazo ndo inakuwaga hivyo.
  11. wisewoman

    Sina kazi, mpenzi wala marafiki, napata mawazo ya kujiua

    Unaonekana unapenda maisha makubwa halafu unayataka kwa muda mfupi miaka 22 unataka uwe nani hapa nchini alaaaa hebu tulia dogo jipangeeee!!!!!
  12. wisewoman

    Ushauri: Nimepoteza hisia kwa mke wangu, simtaki tena

    Unapotaka kufanya maamuzi yoyote yale kwa mwenzako fikiria kwanza ingekuwa ni ww unafanyiwa hivyo ungejisikiaje jibu utakalolipata liwe ndo maamuzi yako.
  13. wisewoman

    Msiwahukumu wa mapenzi ya jinsia moja: Papa Francis

    Moja ya kazi kubwa ya viongoz wa dini ni kukemea dhambi sasa cjui inakuwaje!!!!!!!!!!
  14. wisewoman

    Paul Makonda amsimamisha kazi Mhandisi Mkuu wa Mkoa

    Msiba mzuri wa mwenzio omba Mungu yasikukute.
Back
Top Bottom