Hapana sio wa dodoma, kuna Jamaa mmoja yupo Mbagala Chamanzi (alinitibu kwa Kutumia Mti wa Mtamba)
Kiukweli nimeshanaliza miezi mitatu na natembea Vizuri
Mafanikio
●naweza kutembea vizuri umbali mrefu bila ya shida
●maumivu hakuna Kabisa
Tatizo
●Fracture haijaunga
●siwezi kukimbia
Hivyo...
Nipo kwa mtaalam wa mipupa wa dawa za asili
Hawa jamaa wanapishana sana na hospitali
Tangu nilivyojitegua tena sasa hivi nina mwezi na ninatembea zaidi ya km 2 na sina tatizo
Kiongozi
Natumia lugha isiyo rasmi kusema mi ni wajina wako kwenye Janga hilo
Dec 14 2023 nilipata ajali ya goti na kuvunjika mara mbili juu na chini (transverse patella fracture) Mungu mwema haikuwa (open fracture)
Nina mwezi sasa najitibu kiasili tangu nilipojitonesha tena baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.