Kwa Uelewa wangu watendaji kazi wakubwa wa ulinzi wa ndani ya Nchi ni Usalama wa Taifa, na hawa wanapaswa kuwa makini sana na kila kitisho kinachotokea katika nchi kabla hata hakijafika polisi kutokana na mtindo wa mafunzo yao.
Lakini katika Taifa langu Tanzania, Usalama wa Taifa wanawajibika...
Tarehe 29.08.2025, Ukurasa rasmi wa Ikulu Mawasiliano ulichapicha taarifa zenye kichwa kisemacho "Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili Ngerengere kwa ajili ya kuzungumza na wananchi...
Jf doctor niko na swali kwa tizo ambalo linamsumbua mdogo wangu, ako na miaka 19 sasa lakin mara kadhaa amekuwa akilalamika kuwa gonads zake zinamuuma, na inapotokea hushindwa hata kutembea vizuri, so atafanyaje ili apone ama tiba yake ni nni???
Aisee inatisha i do remember last yeah when i was in form four niliwahi kuchapwa stick 43 siku moja na mwalimu mmoja. Waliosoma Nkende sec wanarikubali hili, af cha ajabu ni kwamba fimbo za kdato cha nne ni nyingi kuliko za vidato vitatu du nilichezea fimbo.
wanafunzi wenzangu wa jf hivi kweli serikali yetu iko makini kwa kile inachokifanya ama inatania, huu ni mwezi juni na bado selection hazijatoka hivi elimu ya mtanzania sini magumashi tu. Nimechokaa kukaa kitaa serikali mtoe haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.