Recent content by WISDOM SEEKER

  1. W

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Mtoa mada yuko sahihi na mkweli.Ukitaka kumjua Mengi vilivyo nenda pale Tanzanite Africa Mirerani uone anacyowanyanyasa wachimbaji wake.Ni halali kumlipa kibarua sh 10800 kwa juma??Je ni halali kibarua kufanya kazi kwako bila ya mkataba?? Mengi kama mwekezaji aufahamishe umma ni msaada upi...
  2. W

    Wamasai wa simanjiro wamwapisha mwenyekiti kimila

    MARIRE:Bila kumumunya maneno mgogoro huu unachochewa na makundi ya kisiasa na makundi ya maslahi binafsi.Ambayo ni:-1.Diwani wa Naisinyai ni kinara wa mgogoro kwa ajili aliyepitishwa hamtaki maana anaelewa vilivyo ni msumari kwake 2015. 2.Dr Ole hamtaki aliyepitishwa maana anahofia sana maslahi...
  3. W

    mapigano ya kiteto polisi wapiga mkwala

    Mgogoro huu ni mkubwa sana.Unachochowa na wanasiasa wa ndani na nje ya kiteto kwa maslahi ya kikabila.Serikali wakiwa wakweli mgogoro hu utakwisha ila kwa kulindana hautaisha katu.
  4. W

    Mnyika jimbo la Ubungo umeshalikosa

    Mtoa mada yaelekea katumwa na iptl hana jipya na sisi hatuko tayari kupoteza jimbo.
  5. W

    Mh. Anna Tibaijuka, akubali katiba ya Jaji Warioba baada ya kufutwa kazi

    HHiyo ndo tabia ya viongozi wakifyatuliwa ndo utasikia haya maneno yao ya kinafiki.
  6. W

    TANZIA Profesa Masuha wa UDSM afariki dunia

    R.I.P Prof Masuha.hatuta kusahau kamwe.
  7. W

    Naisinyai mgogoro wa uchaguzi wazidi kufukuta

    Katika kata ya Naisinyai Kijiji cha Kambi ya Chokaa kwa sasa kuna wenyeviti wawili wa kijiji hicho baada ya ccm wilaya ya simanjiro kushindwa kutatua mgogoro wa uchaguzi.Kwa wasiotambua ni hivi katika kura za maoni ndugu Kunei alishinda akifuatiwa na ndugu Mbuki Ratoi.Ambapo kamati ya sisa...
  8. W

    Naisinyai mgogoro wa uchaguzi wazidi kufukuta

    Katika kata ya Naisinyai Kijiji cha Kambi ya Chokaa kwa sasa kuna wenyeviti wawili wa kijiji hicho baada ya ccm wilaya ya simanjiro kushindwa kutatua mgogoro wa uchaguzi.Kwa wasiotambua ni hivi katika kura za maoni ndugu Kunei alishinda akifuatiwa na ndugu Mbuki Ratoi.Ambapo kamati ya sisa...
  9. W

    Mgao wa umeme mwanza mwendelezo WA escrow

    Mgao wa umeme upo nchi nzima si Mwanza tu.Hi hali wanaficha kutangaza jambo ambalo ni uupuzi mtu.Serikali ikubali na ikiri waziwazi imeshindwa.Ushahidi upo waziwazi kutoka kwa mameneja kuwa mgao upo ila wameonnywa kutangaza ili kuficha aibu.Kwa kuogopa kauli ya itakuwa historia
  10. W

    Serikali sikivu, Mgao wa umeme Dodoma

    Sio dodoma tu umeme ni wa mgao.kwa sasa hilo tatizo ni nchi nzima.wanaogopa kuweka wazi maana walitangaza itakuwa historia
  11. W

    Hongera UKAWA

    Huu ni wakati wa kijifunza kwa makosa. Watu wamechoshwa na hali hii ya maisha
  12. W

    Hongera UKAWA

    Safi sana. Nimeipenda hiyo
Back
Top Bottom