Ifike pahala watu tufikiri kwa kutumia akili sio viungo vingine..... Kazi za mbunge katika katiba ni hizi tatu:
1. Kuwawakilisha wananchi kwa kusemea mambo yao
2. Kutunga sheria kupitia bunge
3. Kuisimamia serikali.
Wananchi wa Ikungi wanasemewa siku zote tena hata wa majimbo mengine ukiwemo...
Issue ziko mbili, utaratibu wa kumwita mtu yeyote kwenye kamati ndio haukuzingatiwa kwa mujibu wa Zitto, pili Kinga ya kikatiba aliyonayo CAG
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa jimbo la Chemba wana matatizo mengi kuliko majimbo karibuni yote ya Tanzania.... Angewekeza katika kutatua matatizo yao badala ya kutafuta namna ya kupewa kick
Haiwezekani ukakutana na kila mtu, haiwezekani zaidi kila mtu aulize swali moja, inawezekana umekutana na mmoja au wawili uliowafanya wakufahamu kwamba wewe ni katibu Mwenezi hivyo wakakuulizia kuhusu mwenyekiti wako.... Pengine angekuwepo Roma wangemuuliza kuhusu Diamond
Sent using Jamii...
Baada ya maneno haya mtatumia kodi zetu kulipa madeni yanayotokana na maamuzi mabaya..... Tunaumia sana mioyoni, hamjui tu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.