Recent content by wingman7

  1. W

    Nauza mpunga wa Kyela

    Dsm mm ninaoo… hio pesa napiga wapi nisaidiee🏃‍♂️🏃‍♂️
  2. W

    Msaada: Nahitaji bwana shamba wa kunipa muongozo wa kilimo Morogoro

    Nina shamba nahitaji kilimo cha umwagiliaji… nataka kuanza investment hio
  3. W

    Bili kubwa ya umeme kuliko matumizi

    Upo wapi? Dar au?
  4. W

    Msaada: Nahitaji bwana shamba wa kunipa muongozo wa kilimo Morogoro

    Ahsantee… sio ushauri mbaya… tatizo wanapatikana??
  5. W

    Natafuta Business Partener

    Business Proposal unayo?
  6. W

    Msaada: Nahitaji bwana shamba wa kunipa muongozo wa kilimo Morogoro

    Habari, Nipo Dar, nina shamba hekari 30 lipo Morogoro… Nahitaji Bwana shamba awe ananipa muongozo na elimu juu ya kilimo ili niweze kuwekeza. Ahsanten..
  7. W

    Insta Account Inahitajika

    Habari, Account ya instagram yenye followers kwanzia 10k inahitajika... Ahsante.
  8. W

    Mtu anayejua accounting packages anahitajika

    ulifanikiwa kumpata??
  9. W

    Maziwa ya ngamia kwa Dar es Salaam yanapatikana wapi?

    Habari zenu, Nipo Dar-es-salaam nahitaji maziwa ya Ngamia je yanapatikana wapi? Msaada tafadhali... Ahsantee!
  10. W

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta Samsung S20 Ultra Live Demo kwa aliyenayo price??
  11. W

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta Samsung S20 Live Demo kwa aliyenayo anicheki
  12. W

    Raymond Reddington, Professor, Michael Schofield nani Genius?

    Haoo wote uliowataja kuna wakati walipewa kibano mpaka wakataka kusurrender ila Raymond Reddington "Red" Hana weakness
  13. W

    Nauza suruali za kadeti

    Naitaka 0714-087253
Back
Top Bottom