Nyie watu wa siasa kweli kazi mnayo,kwani hiyo 2015 hao wanaoichagua ccm watakuwa wamekufa? Au ndio kujipa moyo kwa mawazo ya ajabu. Nivyoona mm itachukua miaka hadi 50 upinzani kuongoza Tanzania, sababu nyanja zote ccm wameshika, wapiga kura, tume na yote ambayo upinzani unasema yarekebishwe...
Lakini mbona m/kitu wetu mboi mbona hajatuelekeza. Sijui tufanyeje kweli tumeibiwa kabisaa! Ila kwa kuwa hatukutumia chopa ndio maana tumeshindwa. Ila kiukweli tumeshindwa %10?
Hii kauli ilianza kutumiwa na upinzani yangu 1995 hasa majimbo wanayoshinda ccm sijui Kwanini? Hivi upinzani huwa hawaibi sijui, mbona upinzani wamejaa waliotoka ccm, au wakihamia upinzani wizi unakoma. Mmmmmm!
Kwani wakati slaa na tundu lisu wanawaweka wake zao kuwa wabunge v.maalumu cdm hawakuufikiria huo ufalme. Wewe ndio Umeanza kuuona? Tuwaache watoto watimize ndoto zao, mbona waalimu wengi watoto wao wamekuwa waalimu kama wazazi wao mbona hamsemi, inakuwaje nongwa kwa ubunge? Anza na akina slaa...
Kwa mawazo haya hata baba akiwa mwalimu hairuhusiwi mtoto kufuata nyayo, kumbe basi kina slaa, lisu, waliwarithisha wake zako vitu maalumu cdm . Haya naona ni mawazo mgando, kikubwa tuwape watoto wetu uhuru na msaada wa kufikia ndoto zao.
Yaani cdm wakiishiwa huwa wapole kweli, leo mnadharau vchaguz vya chalinze wakati kwa nasari mlipayuka kiasi kile,mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni, sisim imewabwaga chlnze na kalenga hata umaarufu wenu umeshuka sana. Hamjasahau tu yale ya chopa3 kata 3 kweli huku ni kupoza kwanza au...
Hii ni laana mbaya, yaani mwisho wa maisha wa huyo baba hauwi mzuri. Biblia haijaruhusu baba kumuoa mwanae. Hii kesi ni MUNGU pekee atakaye ihukumu. Pia maadili yameporomoka sana wazazi na watoto wao wa kike wameongeza ukaribu mno na vivazi vya ajabu ajabu, eti wanaenda kizungu. MUNGU atunusuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.