Recent content by Windson

  1. Windson

    Mchanganuo wa biashara ya saluni (vifaa/matumizi/faida)

    Ahsante, soon nina mpango wa kufungua salon, naongezea camera hapo
  2. Windson

    Wanasemaga Ex harudiwi

    Watu wakoshalala kitanda kimoja na kushiriki kula tunda hawawezi kuachana, hata wakiachana inakuwaga ni kwasababu ya kupishana tuu kauli lakini kiundani kila mtu humkumbuka mwenzie na wakikutana lazima wakumbushie
  3. Windson

    Experience toka kwa watu waliooa wanawake waliolelewa na mzazi mmoja

    naomba hizo mbinu mkuu, kabla sijafikiria kuoa mke mwingine
  4. Windson

    Hakuna mahusiano magumu kama unayempenda anataka akuone unateseka kwa ajili yake

    Aisee, nikadhania niko pekeangu, Nilifiwa na kaka yangu aliyekuwa mbali sana na kwetu hivyo siku za msiba zikawa siku 5 kusubiria maiti ifike, baada ya mazishi tuu hata ndugu hawajaondoka nikashangaa mtu anasema huu ndio muda mzuri kwangu nirudi nyumbani mkishakaa sawa ndio nirudi, Hapo ndipo...
  5. Windson

    Experience toka kwa watu waliooa wanawake waliolelewa na mzazi mmoja

    Mkuu hapa umeongezeka kila kitu nimekuona kwa huyu, Aisee, kumbe ni janga kwelikweli, mpaka nishawaza kutafuta niongeze mke mwingine, hakuna kitu kinakera kama kuona mwanamke ndo anapambana kujifanya ndio contoller wa familia kimaamuzi na kupinga mawazo ya baba, Halafu pia watu wa aina hii...
  6. Windson

    Experience toka kwa watu waliooa wanawake waliolelewa na mzazi mmoja

    Habari zenu wakuu, naomba kupata dokezo ni changamoto zipi mlikutananazo kwa wale waliooa mabinti waliolelewa ma mzazi mmoja? Hasa mama pekee baada ya ndoa ya wazazi wake kuvunjika au kuoa wanawake wengine (polygamy)
  7. Windson

    Nikiona maziwa ya mwanamke napata msisimko na kurukwa na akili

    Kila mtu ana sehemu zake mkuu, binafsi nikiona mapaja tuu stim zinakuja
  8. Windson

    Jifunze kuishi na mwanamke kwa akili

    Utafanya yote hayo na bado hatakuelewa
  9. Windson

    SIKU YA KESHO TUFUNGE KUIOMBEA SIMBA IFUNGWE MAGOLI MENGI MOROCO

    Ni mchawi kutoka wapi vile usiye mzalendo?
  10. Windson

    Hakuna mahusiano magumu kama unayempenda anataka akuone unateseka kwa ajili yake

    Mahusiano ya aina hii yapo wakuu, Unakuta mtu unampenda dem, halafu akishajua unampenda yeye anataka kukuona unateseka kwa ajili yake, utampa zawadi utasaizia familia yao lakini akiona hauteseki anajua bado haumpendi, ila akiona unefikia level yeye anavaa vizuri halafu wewe umekosa hata...
  11. Windson

    Sakata la Ibraah na Harmo: Tuhuma mpya za kutisha

    Pesa halali ni taabu sana kuzipata, pia huu ndio uhalisia, watu wenye hela kufika mbinguni ni kazi sana,
Back
Top Bottom