Recent content by Wimbo

  1. Wimbo

    Msaidizi alipotukanwa na mwenye nyumba kwenye veranda, mmiliki wa awali akamwambia tu namaliza mchezo kuwa mvumilivu. 8/100

    Britanica saluti kwako, Ila tunakoelekea acha wakusanye lakini. Kwa kizazi kijacho watafuatwa watakakokuwa kama alivyofuatwa Mh Malina senior.
  2. Wimbo

    Rais Samia akiondoka madarakani, legacy yake itafanana na hii ya Angela Merkel?

    Copied 🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪🇩🇪 GERMANY BIDS FAREWELL TO ANGELA MERKEL :- With six minutes of warm applause, on the streets, balconies, windows, the whole Country applauded for 6 minutes - spectacular example of leadership and defense of humanity, chapeaux ! The Germans elected her to lead them, and...
  3. Wimbo

    Mnaokesha kuangalia video mnemba za Polepole, mmeamkaje kwa ile nyomi ya uzinduzi wa kampeni za CCM

    Watu wamesafirishwa toka nchi mzima na unasema ni nyomi? Wewe kweli toyoyoyo.
  4. Wimbo

    Polepole tumekuchoka na kelele zako. Kila siku kifo cha Magufuli, kifo cha Magufuli

    Sijawahi kitukana Mungu anisamehe lakini yawezekana mleta uzi amekorogwa, " Unasema aliua watu wengi " Huyu ameua wangapi?
  5. Wimbo

    GE2025 Polepole: Agosti 29, 2025 nitafafanua mambo kuhusu Kifo cha Magufuli; Rostam na Kikwete, Kashfa mbalimbali, deni la Taifa na wezi wanakoficha pesa

    Hii sasa funga kazi, hizi ni nonfo kwenye kampeni, wakosee wamrudishe Tundu kitaumana.
  6. Wimbo

    JESHI LA WANANCHI SHIKAMOO.

    Niliwahi kusoma na vijana ya mataifa jirani, waliokuwa wanashangaa yaani kukaa wiki mzima hamjasikia milio ya bunduki ni ajabu, waliokuwa wanashangaa sana hapa kwetu, hii ni sifa kubwa kwa jeshi letu la ulinzi na usalama. Hoja yangu kwenu sasa hivi kuna wimbi la kelele ambazo hazikuzoeleka "...
  7. Wimbo

    Hongera Jenerali Mabeyo, bila wewe tusingefika hapa

    Mh. Salvatore Mabeyo hongera sana, kama si wewe tusingefika hapa tulipo, nikuombe kwa muda utakaopewa na Mungu wa kuishi uandike kitabu na ueleze yote uliyoifanyia Tanganyika. Kutoka kwenye Uvungu wa moyo wako utuambie yote mema na mabaya ili utuachie Historia sahihi ya utumishi wako.
  8. Wimbo

    Itolewe angalizo kwa wawekezaji kutotumia nembo ya "Made in Tanzania" kwa bidhaa zilizotengenezwa kwingine

    Ahsante Mh. Japho unafanya kazi nzuri, angalizo weka mkazo wawekezaji wasije tu kutumia mali ghafi na chieap labour halafu wanaandike bidhaa main in China au sehemu nyingne kama kimetengenezwa hapa kianishwe made in Tanzania au hata magari kama yametengenezwa au kuwa assembled Tz iainishwe, ni...
  9. Wimbo

    GE2025 Kwanini Jakaya Kikwete analaumiwa?

    "Ndiye katufikisha hapa" Kama ndivyo heko kwake; nimebahatika kuishi na kuwaona maRais wote wa Mchi yetu mpaka sasa, Nyerere hatumlaumu kwa kuifungia Nchi kwenye umaskini, Mwinyi hatumlaumu kwa ruksa ya watu kujitafuta, Mkapa halaumiwi kwa kuuza makusanyo ya Taifa, John halaumiwi kwa kuunda...
  10. Wimbo

    GE2025 Kwanini Jakaya Kikwete analaumiwa?

    Ni kweli yeye ndiye Rais Msitaafu aliyebakia anaijua Tanzania na anaijua CCM kuliko wengi wetu au niseme wengine wote, katika kukwama au kufanikiwa kwa baadhi ya Mambo utasikia ni ushauri wa Kikwete, Aah Huyu shujaa alifanya mengi sana mazuri na kwa kuwa anaipenda Tanzania hawezi kuona Mambo...
  11. Wimbo

    GE2025 Mkutano mkuu wa CCM kesho kuwashangaza wengi

    Hatuna independent tu me ya uchaguzi inaamuliwa na aliyedhika mpini.
  12. Wimbo

    GE2025 Mkutano mkuu wa CCM kesho kuwashangaza wengi

    Lax miaka mutant ni mingi sana!
  13. Wimbo

    GE2025 Mkutano mkuu wa CCM kesho kuwashangaza wengi

    Bila Shaka CCM imetafakari vya kutosha na kesho muda wa uchaguzi mkuu unaweza kusogezwa ili kuondoa sintofahamu ambayo inaweza kutukuta endapo tutalazimisha kuendelea na hali ilivyo. Miaka miwili ya mpito inatosha kurekebisha katiba ya CCM na katiba ya Taifa inayosubiri kwa zaidi ya miaka 10...
  14. Wimbo

    Umri wa Humphrey Polepole

    Hivi Polepole mzaliwa wa mkoa gani?
Back
Top Bottom